Masikitiko: James Lembeli kupigwa chini

Masikitiko: James Lembeli kupigwa chini

Hata mseme nini Ukawa tuko imara,nafasi sio ubunge tu tunachukua nchi kuna watakaoingia mitini ewenyewe kwa aibu,wameongea mengi yatawasuta.
 
Hatimaye ngome ya Chadema imevunjwa na waliokuwa viongozi wa chadema jimbo la Kahama kutokana na kutokubaliana na ujio wa James Lembeli katika jimbo hilo huku wazawa, wazalendo na waanzilishi wa chadema katika jimbo hilo wakitupiliwa mbali. Wanachama na viongozi hao wamesema hawako tayari kubuluzwa na wameamua kufanya maamuzi magumu kwa maslahi mapana ya Taifa.
image.jpeg
Una maana zee la nyeti za kuku?
 
Mzee mzima anaongea manyeti ya kuku hizi akili matope?
 
Lembeli kushinda na na kishimba sawa na dagaa kushinda na sangala
 
Hatimaye ngome ya Chadema imevunjwa na waliokuwa viongozi wa chadema jimbo la Kahama kutokana na kutokubaliana na ujio wa James Lembeli katika jimbo hilo huku wazawa, wazalendo na waanzilishi wa chadema katika jimbo hilo wakitupiliwa mbali. Wanachama na viongozi hao wamesema hawako tayari kubuluzwa na wameamua kufanya maamuzi magumu kwa maslahi mapana ya Taifa.
Ukabila unakutafuna mpaka mifupa, na unaonyesha upumbavu wako hadharani. Utakufa kwa upumbavu.
 
Ndo yeye mkuu kazi ipo Lembeli aongeze bidii huyu jamaa alishaanza harakati enzi ya mkapa si wakupuuzwa.
Kuna kipindi alikuwa anatafutwa na polisi akapotea naona ameibuka kivingine na kugombea ubunge
 
Hatimaye ngome ya Chadema imevunjwa na waliokuwa viongozi wa chadema jimbo la Kahama kutokana na kutokubaliana na ujio wa James Lembeli katika jimbo hilo huku wazawa, wazalendo na waanzilishi wa chadema katika jimbo hilo wakitupiliwa mbali. Wanachama na viongozi hao wamesema hawako tayari kubuluzwa na wameamua kufanya maamuzi magumu kwa maslahi mapana ya Taifa.


Na tutahakisha chalinze linaenda chadema
 
Hatimaye ngome ya Chadema imevunjwa na waliokuwa viongozi wa chadema jimbo la Kahama kutokana na kutokubaliana na ujio wa James Lembeli katika jimbo hilo huku wazawa, wazalendo na waanzilishi wa chadema katika jimbo hilo wakitupiliwa mbali. Wanachama na viongozi hao wamesema hawako tayari kubuluzwa na wameamua kufanya maamuzi magumu kwa maslahi mapana ya Taifa.

Maslahi mapana ya Taifa yapi hayo, kama ndivyo hao wananchi wamelogwa. Yaani umlete mfanyabiashara ulingoni kweli? Wakapimwe akili waliosema hayo
 
Nlisema juzi huyu joni nani sijui si ridhiki
 
Hatimaye ngome ya Chadema imevunjwa na waliokuwa viongozi wa chadema jimbo la Kahama kutokana na kutokubaliana na ujio wa James Lembeli katika jimbo hilo huku wazawa, wazalendo na waanzilishi wa chadema katika jimbo hilo wakitupiliwa mbali. Wanachama na viongozi hao wamesema hawako tayari kubuluzwa na wameamua kufanya maamuzi magumu kwa maslahi mapana ya Taifa.

Utumbo mtupu. Hivi kwani ukisoma nyuzi za wenzako tu unapata shida gani?. Mpaka na wewe utupie utumbo humu
 
Ebana huu ndo ukichaa uliokubuhu,zungumzeni fact, toa uthibitisho kwa kupinga hoja.
WE MAKALIO NN KILA KITU UNAZAN HOJA? PUMBU WEWE HOJA HOJA MPUMBAVU ANAJIBIWA SAWASAWA NA UPUMBAVU WAKE!!!!!RUDIA TENA alah
 
Hatimaye ngome ya Chadema imevunjwa na waliokuwa viongozi wa chadema jimbo la Kahama kutokana na kutokubaliana na ujio wa James Lembeli katika jimbo hilo huku wazawa, wazalendo na waanzilishi wa chadema katika jimbo hilo wakitupiliwa mbali. Wanachama na viongozi hao wamesema hawako tayari kubuluzwa na wameamua kufanya maamuzi magumu kwa maslahi mapana ya Taifa.

Lembeli ndio mbunge wetu
 
Back
Top Bottom