Masikitiko: Clouds Tv yageuka Vuvuzela la CCM

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,600
218,003
Ukianzia kule Ruvuma kwa yule bwana tumbo tumbo wa UVCCM anayejifanya kukagua miradi ya serikali as if ni kiongozi wa serikali , na leo nimeona hii ya Iringa nikacheka kwa dharau sana !

Hivi kweli kitu mlichoanzisha kwa jasho na damu leo mnakiteketeza kirahisi namna hii ?

Hapa chini nimeweka taarifa ya cloudstv instagram hebu jioneeni wenyewe .


 
Ukianzia kule Ruvuma kwa yule bwana tumbo tumbo wa UVCCM anayejifanya kukagua miradi ya serikali as if ni kiongozi wa serikali , na leo nimeona hii ya Iringa nikacheka kwa dharau sana !

Hivi kweli kitu mlichoanzisha kwa jasho na damu leo mnakiteketeza kirahisi namna hii ?

Hapa chini nimeweka taarifa ya cloudstv instagram hebu jioneeni wenyewe .
Ulikuwa nje ya nchi ndio umerudi nini? Mshangao na masikitiko yako ni sawa na mtu Leo Chidi Benz & TID wamekuja kuwa mateja lini.......
CloudS mbona wako hivyo hata kabla Ruge hajajua aumwa nini hasa?
 
Ukianzia kule Ruvuma kwa yule bwana tumbo tumbo wa UVCCM anayejifanya kukagua miradi ya serikali as if ni kiongozi wa serikali , na leo nimeona hii ya Iringa nikacheka kwa dharau sana !

Hivi kweli kitu mlichoanzisha kwa jasho na damu leo mnakiteketeza kirahisi namna hii ?

Hapa chini nimeweka taarifa ya cloudstv instagram hebu jioneeni wenyewe .
Dogo karibu chama tawala, chama kongwe Africa, chama dola. Chama cha Mapinduzi au CCM
 
Upinzani mbona nyie mkirekodiwa nao.. wenzenu hawawasemi? Post za juu yangu hapa ni mmeitana ndotoni.. wanga eti nyie!!!! eeeeeh😀😀😀😀😀😀 Mnazidi kujichimbia kaburi.. tumewachoka. Muache watu wa Media watupe habari.. mnapoita nyie mapaparazi kwa kulia lia mbona huwa hamlalamiki kutowahitaji?
 
Lakini Watanzania ni wapole au waoga?
Tundu Lissu amepigwa risasi mchana kweupe tumemuachia Mungu, amevuliwa ubunge tunamuachia Mungu.

CCM endeleeni kutuchezea kama madoli.

Hahahaaaa..
Kwani huyo mungu wenu yuko pande moja tuu..??

CCM vilevile inatumia huyo mungu kuwanyosha matapeli wakisiasa kama nyny na matunda tunayapata kama mnavyojionea wenyewe
 
Upinzani mbona nyie mkirekodiwa nao.. wenzenu hawawasemi? Post za juu yangu hapa ni mmeitana ndotoni.. wanga eti nyie!!!! eeeeeh Mnazidi kujichimbia kaburi.. tumewachoka. Muache watu wa Media watupe habari.. mnapoita nyie mapaparazi kwa kulia lia mbona huwa hamlalamiki kutowahitaji?
Imebidi leo nikudukue kidogo... Kumbe kiumri wa JF umeniacha mbali...
 
Ukianzia kule Ruvuma kwa yule bwana tumbo tumbo wa UVCCM anayejifanya kukagua miradi ya serikali as if ni kiongozi wa serikali , na leo nimeona hii ya Iringa nikacheka kwa dharau sana !

Hivi kweli kitu mlichoanzisha kwa jasho na damu leo mnakiteketeza kirahisi namna hii ?

Hapa chini nimeweka taarifa ya cloudstv instagram hebu jioneeni wenyewe .

Zimebakia taratibu chache sana CMG nayo iwe Mali ya Chama Nyundo na Jembe nchini Tanzania kama ilivyokuwa kwa AMG.
 
Kwa jinsi ccm wanavyo viogopa vyombo vya habari usikute na hiyo tv station wamesha inunua
Ukianzia kule Ruvuma kwa yule bwana tumbo tumbo wa UVCCM anayejifanya kukagua miradi ya serikali as if ni kiongozi wa serikali , na leo nimeona hii ya Iringa nikacheka kwa dharau sana !

Hivi kweli kitu mlichoanzisha kwa jasho na damu leo mnakiteketeza kirahisi namna hii ?

Hapa chini nimeweka taarifa ya cloudstv instagram hebu jioneeni wenyewe .
 
Back
Top Bottom