Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,600
- 218,003
Ukianzia kule Ruvuma kwa yule bwana tumbo tumbo wa UVCCM anayejifanya kukagua miradi ya serikali as if ni kiongozi wa serikali , na leo nimeona hii ya Iringa nikacheka kwa dharau sana !
Hivi kweli kitu mlichoanzisha kwa jasho na damu leo mnakiteketeza kirahisi namna hii ?
Hapa chini nimeweka taarifa ya cloudstv instagram hebu jioneeni wenyewe .
Hivi kweli kitu mlichoanzisha kwa jasho na damu leo mnakiteketeza kirahisi namna hii ?
Hapa chini nimeweka taarifa ya cloudstv instagram hebu jioneeni wenyewe .