Masikini Tanzania yangu

Masikini Tanzania yangu

MICHAEL SON

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2020
Posts
458
Reaction score
536
Asalaam!.

Msingi mkubwa wa maendeleo katika Taifa ni siasa safi,,. Cha kusikitisha hapa kwetu hakuna,,, sio CHADEMA sio CCM wote wale wale tu wapiga dili wa the all time,,,hawa wengine wenye wabunge 2 ndo hata hawafai kuzungumziwa,,, watanzania tuendelee kuvumilia mabadiliko watayaona vitukuu wetu,,,.

Mpoto uliona mbali....

Waliopo hatuwataki na wanaotaka tuwape hatuwa amini,,,,,, asalaam
 
Asalaam!.

Msingi mkubwa wa maendeleo katika Taifa ni siasa safi,,. Cha kusikitisha hapa kwetu hakuna,,, sio CHADEMA sio CCM wote wale wale tu wapiga dili wa the all time,,,hawa wengine wenye wabunge 2 ndo hata hawafai kuzungumziwa,,, watanzania tuendelee kuvumilia mabadiliko watayaona vitukuu wetu,,,.

Mpoto uliona mbali....

Waliopo hatuwataki na wanaotaka tuwape hatuwa amini,,,,,, asalaam
Sio kuvumilia mkuu, piga kura kuleta mabadiliko. Ccm sasa mwaka wa 60 acha wengine wafanye mabadiliko badala ya kukata tamaa na kusubiri wajukuu.
 
Asalaam!.

Msingi mkubwa wa maendeleo katika Taifa ni siasa safi,,. Cha kusikitisha hapa kwetu hakuna,,, sio CHADEMA sio CCM wote wale wale tu wapiga dili wa the all time,,,hawa wengine wenye wabunge 2 ndo hata hawafai kuzungumziwa,,, watanzania tuendelee kuvumilia mabadiliko watayaona vitukuu wetu,,,.

Mpoto uliona mbali....

Waliopo hatuwataki na wanaotaka tuwape hatuwa amini,,,,,, asalaam
Wewe ni tatizo vile vile! Kwanini unakata tamaa? Fikiri mbali mabadiliko unayoyataka utasaidia vipi kuyaleta
 
Asalaam!.

Msingi mkubwa wa maendeleo katika Taifa ni siasa safi,,. Cha kusikitisha hapa kwetu hakuna,,, sio CHADEMA sio CCM wote wale wale tu wapiga dili wa the all time,,,hawa wengine wenye wabunge 2 ndo hata hawafai kuzungumziwa,,, watanzania tuendelee kuvumilia mabadiliko watayaona vitukuu wetu,,,.

Mpoto uliona mbali....

Waliopo hatuwataki na wanaotaka tuwape hatuwa amini,,,,,, asalaam
IUnapaswa kuushukuru upinzani imara kupitia CHADEMA.... Ni rahisi sana kukiponda hiki chama nyuma ya keyboard.. Lakini bado kitabaki kuwa chama bora cha upinzani kwa miaka mingi ijayo.. Mengine ni madhaifu ya kawaida ya kibinadamu... Hakuna mkamilifu

Jr
 
Asalaam!.

Msingi mkubwa wa maendeleo katika Taifa ni siasa safi,,. Cha kusikitisha hapa kwetu hakuna,,, sio CHADEMA sio CCM wote wale wale tu wapiga dili wa the all time,,,hawa wengine wenye wabunge 2 ndo hata hawafai kuzungumziwa,,, watanzania tuendelee kuvumilia mabadiliko watayaona vitukuu wetu,,,.

Mpoto uliona mbali....

Waliopo hatuwataki na wanaotaka tuwape hatuwa amini,,,,,, asalaam
Nadhani Mtoa Mada alikuwa anataka kusema
"Maskini CHADEMA yangu "
 
IUnapaswa kuushukuru upinzani imara kupitia CHADEMA.... Ni rahisi sana kukiponda hiki chama nyuma ya keyboard.. Lakini bado kitabaki kuwa chama bora cha upinzani kwa miaka mingi ijayo.. Mengine ni madhaifu ya kawaida ya kibinadamu... Hakuna mkamilifu

Jr
Nakuona the Nyumbu..😅

Binafsi siviamini vyama vya siasa maana wote nawaona wapigaji tu!
Hao CDM hawajapata nafasi tu ya kukalia kiti,siku wakipata tutawasoma rangi pia!!..

Kwangu kuyaharibu mambo walianzia 2015 kumuweka waliyekuwa wakimuita fisadi..😅
Walianza kumsafisha kwa spidi..!
Nikajua hawa ni walewale!, tofauti ni ndogo Sana na hapo ndo nikaelewa kwanini wanaitwa wapinzani..!!

Kwa wenye akili ni kuwa ccm inajua Sana kucheza na upinzani na upinzani bado hawajaiweza ccm kimkakati,propaganda n.k

Sitegemei tofauti kubwa Sana siku upinzani ukija kushika nchi.
 
Nakuona the Nyumbu..

Binafsi siviamini vyama vya siasa maana wote nawaona wapigaji tu!
Hao CDM hawajapata nafasi tu ya kukalia kiti,siku wakipata tutawasoma rangi pia!!..

Kwangu kuyaharibu mambo walianzia 2015 kumuweka waliyekuwa wakimuita fisadi..
Walianza kumsafisha kwa spidi..!
Nikajua hawa ni walewale!, tofauti ni ndogo Sana na hapo ndo nikaelewa kwanini wanaitwa wapinzani..!!

Kwa wenye akili ni kuwa ccm inajua Sana kucheza na upinzani na upinzani bado hawajaiweza ccm kimkakati,propaganda n.k

Sitegemei tofauti kubwa Sana siku upinzani ukija kushika nchi.
Binafsi siviamini vyama vya siasa maana wote nawaona wapigaji tu!
Sasa mpwa mtazamo wako ndio unataka uwe wetu sote?

Jr
 
Sio kuvumilia mkuu, piga kura kuleta mabadiliko. Ccm sasa mwaka wa 60 acha wengine wafanye mabadiliko badala ya kukata tamaa na kusubiri wajukuu.
Mkuu sasa nimpigie nani?. hata hawa upinzani uchaguziukifika wanatuletea wagombea walofukuzwa CCM,,,,,
 
Wewe ni tatizo vile vile! Kwanini unakata tamaa? Fikiri mbali mabadiliko unayoyataka utasaidia vipi kuyaleta
Mkuu napambana na maisha yangu na kizazi changu ,,Walaah Sio kwa wanasiasa Hawa WA kibongo
 
IUnapaswa kuushukuru upinzani imara kupitia CHADEMA.... Ni rahisi sana kukiponda hiki chama nyuma ya keyboard.. Lakini bado kitabaki kuwa chama bora cha upinzani kwa miaka mingi ijayo.. Mengine ni madhaifu ya kawaida ya kibinadamu... Hakuna mkamilifu

Jr
Madhaifu ya kibinadamu kuminya democrasia unayo ihubiri na kuililia?..,Madhaifu ya kibinadamu kuminya matumizi ya Rasilimali unazokusanya halafu una mlengo WA uwazi na kupambana na Umaskini ,,GUTUKA Mkuu ,,HATUNA WANA SIASA TUNA WACHUMIA TUMBO
 
Binafsi siviamini vyama vya siasa maana wote nawaona wapigaji tu!
Sasa mpwa mtazamo wako ndio unataka uwe wetu sote?

Jr
Sio nataka uwe hivyo ila ni ktk namna ya kuwakurupua Nyumbu tu ili msilale lale..😅
Vyote vinaitwa vyama vya siasa na wote wanaigombania dola na wote wanataka kura za kula.
 
Nadhani Mtoa Mada alikuwa anataka kusema
"Maskini CHADEMA yangu "
Hakuna CCM imara bila upinzani Imara!...TUNAHITAJI MAENDELEO KWA KIWANGO NA STAHIKI YA RASILIMALI ZETU,,,Sio Propaganda...DOLA INAPIGANA KUIUA CHADEMA KULIKO JINSI INAVYO WAPIGANIA WANACHI,,,. Chadema nao 90% wana yao moyoni,,na ya ndani machafu na mabaya KULIKO CCM pathetic
 
Nakuona the Nyumbu..😅

Binafsi siviamini vyama vya siasa maana wote nawaona wapigaji tu!
Hao CDM hawajapata nafasi tu ya kukalia kiti,siku wakipata tutawasoma rangi pia!!..

Kwangu kuyaharibu mambo walianzia 2015 kumuweka waliyekuwa wakimuita fisadi..😅
Walianza kumsafisha kwa spidi..!
Nikajua hawa ni walewale!, tofauti ni ndogo Sana na hapo ndo nikaelewa kwanini wanaitwa wapinzani..!!

Kwa wenye akili ni kuwa ccm inajua Sana kucheza na upinzani na upinzani bado hawajaiweza ccm kimkakati,propaganda n.k

Sitegemei tofauti kubwa Sana siku upinzani ukija kushika nchi.
CCM inaju kua Silaha yake kubwa ni Ujinga wa watanzania,,,ambao watakuchagua leo wasikuone Miaka 5,, na usiwafanyie lolote la maana,,ila wakakuchagua tena ,,kwa kuwagawia Chumvi na kanga
 
Sio kuvumilia mkuu, piga kura kuleta mabadiliko. Ccm sasa mwaka wa 60 acha wengine wafanye mabadiliko badala ya kukata tamaa na kusubiri wajukuu.
Tatizo piga kura usipige hata mgombea uliempigia hatangazwi hata akishinda
 
Mkuu sasa nimpigie nani?. hata hawa upinzani uchaguziukifika wanatuletea wagombea walofukuzwa CCM,,,,,
Watanzania tunakosea sana kuweka chama kimoja madarakani miaka 60. Uingereza, Marekani, etc wanabadilisha chama kila baada ya miaka 4 au 8. Halafu sisi tunashangaa kwanini tunabaki kuwa maskini.
 
Back
Top Bottom