Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 26,079
- 23,961
Asante sana mkuu kwa kumaliza mjadala
mkuu nini kilikusibu? Njaa, ahadi ya cheo au nini.. Mungu baba akusamehe
Asante sana mkuu kwa kumaliza mjadala
Naipenda sana JF kwa kutunza kumbukumbu...
Miezi sita baadaye na mtu ni yule yule!
Sina la kuongeza...nawaachia MaGT wa JF!
Naipenda sana JF kwa kutunza kumbukumbu...
Miezi sita baadaye na mtu ni yule yule!
Sina la kuongeza...nawaachia MaGT wa JF!
Tatizo lako Ritz hutumii akili yako kufikiri, akili yako yote umemkabidhi mzee wako chauchochezi Mohamed Said aitumie kuendeshea mihadhara ya kumtusi Nyerere! Mkuu Mag3 katuletea aliyoyaona yeye kuhusu kinyonga Lukosi, wewe kama unawafahamu vinyonga wengine ilikuwa uwaweke hapa na ushahidi kama alivyofanya Mag3. Lakini kwakuwa unafikiri kwa makamasi umeshindwa na ukaja na nyimbo zilezile za Mohamed! wewe ni wakupuuzwa huna manufaa yoyote.
Ritz bwana huwa ananifurahisha kwa kukurupuka mada inazungumzia vijana yeye kaja na list ya wazee. Njaa hizi inasababisha atetee kila kitu ili lumumba wamkumbuke
Mkuu wana siasa ni watu wa kubadilika kila wakati labda nitajie mwanasiasa gani mkweli.
Mag3,
Nashukuru kwa kuuliza swali
Kwanza kabisa nikusahihishe kabla makamanda hawajaanza kutokwa povu hapa, Mimi sio msomi na ila NIMEELIMIKA, elimu yangu ni sawa tu na ya DJ.
Hizo post zote hapo juu nilizitundika mie mwenyewe na nakiri kuwa katika makosa niliyowahi kuyafanya duniani, Kujiunga na chadema lilikuwa kosa kubwa kabisa katika maisha yangu na sitolisahau maishani.
Mie kujiunga chadema nilikuwa nimepotea na bila kujijua nikajikuta katikati ya maandamano yasiyo na kibali. Lakini niliyashtukia makosa hayo na kuamua kurudi nyumbani
Nawasikitikia vijana wenzangu ambao bado wako chadema kwani wako kwenye basi lenye madereva watatu ambao hawaelewani, wameacha kuendesha basi na sasa wanavutana kuhusu nani aendeshe hilo basi mwaka 2015, Dereva mmoja ni kijana na mwingine ni mtu mzima akisaidiwa kwa ukaribu na mwenye basi. Kuna huyu dereva mwingine kutoka singida yeye bado hajaonyesha nia lakini najua muda wowote na yeye atasema anataka kuendesha na hapo ndio tutasikia mengi sana na akina Ben saa nane once againa watakuwa very bize hapa JF kutoa matamko
Chadema sio chama kaili cha kisiasa kama vile wengi wanavyodhani, chadema ni mkusanyiko wa wapiga deals wanaotegemea siku wakiingia ikulu wafanye kweli, Hebu fikiria nchi ichukuliwe halafu unakuwa na mawaziri kama sugu na lema????
Nina uhakika vijana wengi wakijitambua wataiga mfano wangu na kurudi nyumbani CCM tulijenge taifa
Vijana msikubali kutumiwa kwa kufanywa chambo cha vurugu na maandamano yasiyo na vibali kuwapatia umaarufu watu wachache ambao ninakuhakikishieni, siku wakipata wakitakacho watawaona kama nzi tu
Mfano mzuri ni yule muandishi wa habari wa mjengwa (sio LUDO ) aliepanda basi kwenda Dar kuhudhuria harambee iliyofanyika serena hotel, kijana alitumia akiba yake yote kwenda dar baada ya kualikwa na lema kupitia mimi. Kijana alipofika nje ya hotel Lema alimfuata na kuchukua ule mchango lakini hakumruhusu kuingia ndani (haya ni maelezo ya yule kijana) Kijana alikaa nje mpaka saa saba usiku bila mafanikio kuingia ndani kisa alkikuwa hafanani na waliokuwemo ndani na alikuwa akionekana kamanda mchovu tu. Mmie ilibidi nimtumie nauli yule kijana na kumlipia hotel arudi Iringa. Mpaka leo kijana hajui hata kama mchango wake ulifika au la na alisikitika sana jambo ambalo ni moja tu ya mambo yaliyonifanya niwashtukie chadema kuwa they are just deal makers.
Ukiniuliza tena nitamwaga mboga
Mnafiki na mchawi ni watu Wa kunyongwa.Asante sana mkuu kwa kumaliza mjadala
Kujiunga na chadema ni sawa tu na kuingia kwenye mchezo wa karata tatu,Najua ulijiunga chadema kipindi hicho ukiwa na akili timamu kabisa hebu tudokeze kilicho kufanya ujiunge chadema!
Mag3,
Nashukuru kwa kuuliza swali
Kwanza kabisa nikusahihishe kabla makamanda hawajaanza kutokwa povu hapa, Mimi sio msomi na ila NIMEELIMIKA, elimu yangu ni sawa tu na ya DJ.
Hizo post zote hapo juu nilizitundika mie mwenyewe na nakiri kuwa katika makosa niliyowahi kuyafanya duniani, Kujiunga na chadema lilikuwa kosa kubwa kabisa katika maisha yangu na sitolisahau maishani.
Mie kujiunga chadema nilikuwa nimepotea na bila kujijua nikajikuta katikati ya maandamano yasiyo na kibali. Lakini niliyashtukia makosa hayo na kuamua kurudi nyumbani
Nawasikitikia vijana wenzangu ambao bado wako chadema kwani wako kwenye basi lenye madereva watatu ambao hawaelewani, wameacha kuendesha basi na sasa wanavutana kuhusu nani aendeshe hilo basi mwaka 2015, Dereva mmoja ni kijana na mwingine ni mtu mzima akisaidiwa kwa ukaribu na mwenye basi. Kuna huyu dereva mwingine kutoka singida yeye bado hajaonyesha nia lakini najua muda wowote na yeye atasema anataka kuendesha na hapo ndio tutasikia mengi sana na akina Ben saa nane once again watakuwa very bize hapa JF kutoa matamko
Chadema sio chama kamili cha kisiasa kama vile wengi wanavyodhani, chadema ni mkusanyiko wa wapiga deals wanaotegemea siku wakiingia ikulu wafanye kweli, Hebu fikiria nchi ichukuliwe halafu unakuwa na mawaziri kama sugu na lema????
Nina uhakika vijana wengi wakijitambua wataiga mfano wangu na kurudi nyumbani CCM tulijenge taifa
Vijana msikubali kutumiwa kwa kufanywa chambo cha vurugu na maandamano yasiyo na vibali kuwapatia umaarufu watu wachache ambao ninakuhakikishieni, siku wakipata wakitakacho watawaona kama nzi tu
Mfano mzuri ni yule muandishi wa habari wa mjengwa (sio LUDO ) aliepanda basi kwenda Dar kuhudhuria harambee iliyofanyika serena hotel, kijana alitumia akiba yake yote kwenda dar baada ya kualikwa na lema kupitia mimi. Kijana alipofika nje ya hotel Lema alimfuata nje na kuchukua ule mchango lakini hakumruhusu kuingia ndani, Kijana alikaa nje mpaka saa saba usiku bila mafanikio kuingia ndani kisa alkikuwa hafanani na waliokuwemo ndani na alikuwa akionekana kamanda mchovu tu. Mmie ilibidi nimtumie nauli yule kijana na kumlipia hotel arudi Iringa. Mpaka leo kijana hajui hata kama mchango wake ulifika au la na alisikitika sana jambo ambalo ni moja tu ya mambo yaliyonifanya niwashtukie chadema kuwa they are just deal makers.
Ukiniuliza tena nitamwaga mboga
Kujiunga na chadema ni sawa tu na kuingia kwenye mchezo wa karata tatu,
Aisee,Lukosi, hutumii akili na hili ndio tatizo la nyie mnaojiingiza kwenye siasa kwa lengola kujinufaisha matumbo yenu! Kwani yale matatizo ya CCM kufananishwa na injini mbovu yaliisha lini? Jibu hoja wala usitangaze kufungwa kwa mjadala ambao hukuuanzisha wewe. Unafiki na uchumia tumbo utakuletea mauti ndugu yetu. Na kwa taarifa yako hata hao maCCM wanakudharau ile mbaya!mjinga wewe.
Naipenda sana JF kwa kutunza kumbukumbu...
Miezi sita baadaye na mtu ni yule yule!
Sina la kuongeza...nawaachia MaGT wa JF!