Mama Samia ambaye alikuwa anakutana na kuombwa mikutano na maraisi wa nchi kubwa kubwa sasa kabaki kufanya mikutano tunguu zanzabari na machawa😇 .
Yote yanatokana na tamaa za pesa na ubinafsi badala ya kuweka nchi mbele. Kajaza familia kwenye uongozi na watu ambao ni machawa lakini ataondoka bila furaha.
Watanzania wengi tofauti na 2022-2023 watashangilia akiondoka kuliko akibaki madarakani 😔
Yote yanatokana na tamaa za pesa na ubinafsi badala ya kuweka nchi mbele. Kajaza familia kwenye uongozi na watu ambao ni machawa lakini ataondoka bila furaha.
Watanzania wengi tofauti na 2022-2023 watashangilia akiondoka kuliko akibaki madarakani 😔