Masikini Samia, kabaki na machawa tu

Masikini Samia, kabaki na machawa tu

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
9,267
Reaction score
13,891
Mama Samia ambaye alikuwa anakutana na kuombwa mikutano na maraisi wa nchi kubwa kubwa sasa kabaki kufanya mikutano tunguu zanzabari na machawa😇 .

Yote yanatokana na tamaa za pesa na ubinafsi badala ya kuweka nchi mbele. Kajaza familia kwenye uongozi na watu ambao ni machawa lakini ataondoka bila furaha.

Watanzania wengi tofauti na 2022-2023 watashangilia akiondoka kuliko akibaki madarakani 😔
 
Aliuwa watu kisha akaunda TUME Fake ya MACHAWA
Akatengeneza ToR anazojua yeye
ambapo yeye HATA HOJIWA
Japo ni muhusika mkuu kwenye ,auaji yale
 
Mama Samia ambaye alikuwa anakutana na kuombwa mikutano na maraisi wa nchi kubwa kubwa sasa kabaki kufanya mikutano tunguu zanzabari na machawa😇 .

Yote yanatokana na tamaa za pesa na ubinafsi badala ya kuweka nchi mbele. Kajaza familia kwenye uongozi na watu ambao ni machawa lakini ataondoka bila furaha.

Watanzania wengi tofauti na 2022-2023 watashangilia akiondoka kuliko akibaki madarakani 😔
*Watanzania wengi tofauti na 2022-2023 watashangilia akiondoka kuliko akibaki madarakani 😔
 
KANISA LIMEISHIWA PAWA

LIMEBAKIA KUWA KICHEKESHO KANISA KATOLIKI
Kuongelea kitu kisichotajwa kwenye mada ni Ishara ya kuchanganyikiwa nacho.

Kinazunguka kichwani mwako Hadi unakitapika hata pahali kisipo tajwa.

What a power it has!
 
Back
Top Bottom