Masikini Manji, hii ndio Bongo!

Waende tu, tuzalisha matajiri wengine.
Wewe unaongea hujui madhara ya kuondoka matajiri katika nchi, mpaka leo Uganda inabembeleza wafanyabiashara wake waliohama kwenda Uingereza na Canada enzi ya Raisi Iddi Amin lakini wapi, wameondoka na nguo zao lakini kwa sasa wengi wao ni wafanyabiashara wakubwa katika nchi hizo. Wafanyabiashara, wawekezaji na hata wananchi wanapenda nchi salama na inaendeshwa katika misingi ya haki na sheria. Tizama mfano wa nchi iliyo karibu ya zimbabwe wananchi wake wengi wamekuwa wakimbizi Afrika ya kusini.
 
Kuna dhulma tu... yeye ni mhindi ni rahisi kuchafuliwa na isiwe kitu. ..hasa kwa sasa muhimili huu unavo wanyanyapaa waislam na wapinzani...
manji ni sadaka au kafara ya uchumi mbovu na kukosa ajira...ila unga utauzwa na matajiri wapya watazaliwa
Nakubaliana nawe kwamba wapinzani wananyanyapaliwa lakini si waislamu, acha uchochezi usiokua na msingi wala faida yoyote
 
Mpaka muda huu yupo sero, bongo sio ulaya uende Na lawyer 9, uzani watakusaidia.

kuna Sheria,halafu kuna haki sometimes vinakaa mbalimbali.

next time jifunze kuwa saivi kuna mhimili umejichimbia sana chini.
Mbona nimemuona ofisini kwake nyerere road hapa anaongea na jamaa wawili nje ya jengo au wapo manji wawili
 
Kenya wanamtaka ahamishie na uwekezaji wake kule...ingekuwa Mimi chapu ngetua Nairobi chyaa.
Wenzetu wameanza kusajili matajiri waliopo bongo wanaochoshwa nasystem. Mara bahresa,dewji,mengi nk.wengine wanadai watarudi after 9 years...nchi ya viwanda
Kuna ukweli
 
Mpaka muda huu yupo sero, bongo sio ulaya uende Na lawyer 9, uzani watakusaidia.

kuna Sheria,halafu kuna haki sometimes vinakaa mbalimbali.

next time jifunze kuwa saivi kuna mhimili umejichimbia sana chini.
Wew inaonekaana hujamsikia kamanda Sirro, kasema si kila anaeletwa kituo cha polisi analala mahabusu….. Hapo na wew jiongeze
 
Angekuwa anashindana na dola ndio angeenda hapo kituoni?ujue pia huyo ni diwani wa ccm
 
Hizi habari uchochoro mnazitoa wapi? Hivi unajua kinachoendelea kweli wewe ??
Hawezi kujua baada ya kufukuzwa ACT na akina mcubic sasa hivi yupo hana mbele wala nyuma
 
madalakani- madarakani, hebu acha kuchanganya l na r
 
Endeleeni kuwaamini.
Usini quote vibaya, sjasema nawaamini, ila so far wao ndio wanachojua ukweli wa mambo. Kwa kuwa hatuna source nyingine ya kutupa taarifa inabidi tuikubali hii iliyotolewa hadi wakati huu.


All in all time will tell.
 
Kenya wanamtaka ahamishie na uwekezaji wake kule...ingekuwa Mimi chapu ngetua Nairobi chyaa.
Wenzetu wameanza kusajili matajiri waliopo bongo wanaochoshwa nasystem. Mara bahresa,dewji,mengi nk.wengine wanadai watarudi after 9 years...nchi ya viwanda
Wache wende tu tz ilikiwepo kabla yao na itaendelea kuwepo bila wao, fahamu ni binaadamu hao hawatodumu milele.
 
Hatutamfikia utajiri wake bali kuna jambo moja zuri kwamba vita hii haikuangalia hali ya uchumi wa mtu. Hiyo ni historia ishaandikwa.
Watanzania bwana!! Sasa nani mwenye pesa ameshakamatwa na kuonyeshwa mfano kwa hukumu nzito!
au ndio haya haya maigizo ya kutajana kwa media?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…