Wewe unaongea hujui madhara ya kuondoka matajiri katika nchi, mpaka leo Uganda inabembeleza wafanyabiashara wake waliohama kwenda Uingereza na Canada enzi ya Raisi Iddi Amin lakini wapi, wameondoka na nguo zao lakini kwa sasa wengi wao ni wafanyabiashara wakubwa katika nchi hizo. Wafanyabiashara, wawekezaji na hata wananchi wanapenda nchi salama na inaendeshwa katika misingi ya haki na sheria. Tizama mfano wa nchi iliyo karibu ya zimbabwe wananchi wake wengi wamekuwa wakimbizi Afrika ya kusini.Waende tu, tuzalisha matajiri wengine.
Nakubaliana nawe kwamba wapinzani wananyanyapaliwa lakini si waislamu, acha uchochezi usiokua na msingi wala faida yoyoteKuna dhulma tu... yeye ni mhindi ni rahisi kuchafuliwa na isiwe kitu. ..hasa kwa sasa muhimili huu unavo wanyanyapaa waislam na wapinzani...
manji ni sadaka au kafara ya uchumi mbovu na kukosa ajira...ila unga utauzwa na matajiri wapya watazaliwa
Wacha wivu wa kike wewe fanya kazi upate kipato nawe ununue gari zurihii ndio bongo, mikwala ya press, gari Kali "range rover,", 9 lawyers. lakini wapi wamekung'ang'ania hii ndo bongo da!
Mbona nimemuona ofisini kwake nyerere road hapa anaongea na jamaa wawili nje ya jengo au wapo manji wawiliMpaka muda huu yupo sero, bongo sio ulaya uende Na lawyer 9, uzani watakusaidia.
kuna Sheria,halafu kuna haki sometimes vinakaa mbalimbali.
next time jifunze kuwa saivi kuna mhimili umejichimbia sana chini.
Kuna ukweliKenya wanamtaka ahamishie na uwekezaji wake kule...ingekuwa Mimi chapu ngetua Nairobi chyaa.
Wenzetu wameanza kusajili matajiri waliopo bongo wanaochoshwa nasystem. Mara bahresa,dewji,mengi nk.wengine wanadai watarudi after 9 years...nchi ya viwanda
Wewe mwenyewe ni masikini wa kutupaWaende tu, tuzalisha matajiri wengine.
Wew inaonekaana hujamsikia kamanda Sirro, kasema si kila anaeletwa kituo cha polisi analala mahabusu….. Hapo na wew jiongezeMpaka muda huu yupo sero, bongo sio ulaya uende Na lawyer 9, uzani watakusaidia.
kuna Sheria,halafu kuna haki sometimes vinakaa mbalimbali.
next time jifunze kuwa saivi kuna mhimili umejichimbia sana chini.
Sheria inasema atashikiliwa si zaid ya SAA 48. Sasa yeye alishachunguzwa na hakupaywa na hatia obviously yupo masaki anapuliza sigaYupo ndan mpaka hv nnavyoandika hii comment.
Nipe process za kuwazalisha, halafu nawewe uniambie unaingiza shngap kwa mwakaWaende tu, tuzalisha matajiri wengine.
Angekuwa anashindana na dola ndio angeenda hapo kituoni?ujue pia huyo ni diwani wa ccmHuwezi kushindana na Dola,alidhani watu hawajajipanga,kaambiwa afadhali umekuja mapema,ngoja tukapime damu yako kwanza,halafu tukakusachi ofisini na nyumbani.Kwa mtu kama manji kumpekuwa ofisini lazima watakuta na nyaraka zingine ambazo hazitakiwi kufika mkikononi mwa polisi!!
Hawezi kujua baada ya kufukuzwa ACT na akina mcubic sasa hivi yupo hana mbele wala nyumaHizi habari uchochoro mnazitoa wapi? Hivi unajua kinachoendelea kweli wewe ??
madalakani- madarakani, hebu acha kuchanganya l na rBinafisi nampongeza Rais Magufuli kwa haya anayo fanya toka ameingia Madalakani yuko sahihi kabisa. lazima kuwe na utofauti kati Selikali na matajili Matajili ukiwaacha wakaota mapembe nchi itayumba,hivi sasa ndio tumepata Baba wa Taifa kwa mala nyingine.Wenye Akili timamu tunajuwa anachokifanya huyu Mzee na Matunda yake titayaona Badae Asante Rais wangu.
Usini quote vibaya, sjasema nawaamini, ila so far wao ndio wanachojua ukweli wa mambo. Kwa kuwa hatuna source nyingine ya kutupa taarifa inabidi tuikubali hii iliyotolewa hadi wakati huu.Endeleeni kuwaamini.
Waende tu, tuzalisha matajiri wengine.
Hahahah nimeipenda hiyo...!!!!hii ndio bongo, mikwala ya press, gari Kali "range rover,", 9 lawyers. lakini wapi wamekung'ang'ania hii ndo bongo da!
Dharau zake zimekupunguzia nini katika maisha yako ?Yule mhindi ana dharau sana, bora wamshikishe adabu
Huu ni tawala wa kuzalisha maskini zaidiWaende tu, tuzalisha matajiri wengine.
Wache wende tu tz ilikiwepo kabla yao na itaendelea kuwepo bila wao, fahamu ni binaadamu hao hawatodumu milele.Kenya wanamtaka ahamishie na uwekezaji wake kule...ingekuwa Mimi chapu ngetua Nairobi chyaa.
Wenzetu wameanza kusajili matajiri waliopo bongo wanaochoshwa nasystem. Mara bahresa,dewji,mengi nk.wengine wanadai watarudi after 9 years...nchi ya viwanda
Watanzania bwana!! Sasa nani mwenye pesa ameshakamatwa na kuonyeshwa mfano kwa hukumu nzito!Hatutamfikia utajiri wake bali kuna jambo moja zuri kwamba vita hii haikuangalia hali ya uchumi wa mtu. Hiyo ni historia ishaandikwa.