Ukweli ni kuwa watu wamechoka na Wanasiasa Walafi!!!!!! Mimi napenda kumkumbusha Rais wangu juu ya tamko lake la wanasiasa kutojiusisha na Biashara huku yeye Mwenyewe akiwateua haohao hata baada ya Mda mfupi wa kutamka tamko lake anasahau kama alikemea.Kukubali kwake Kinana kuteuliwa kama katibu Mkuu CCM pia ni kosa, alipaswa pia kumkumbusha Rais kuwa unaniteua wakati ulitukataa sisi wafanyabiashara, jibu angelipata.