Masikini kaka huyu

Ndoa za kikristo unajua tena wif hataki kusikia wala kuelewa

Kwani nilazima kuishi na mtu!!? tena ukichukulia huyo kaka yako kashaingiwa nahofu ya kifo unadhani kuna mapenzi tena hapo!!? acheni mambo ya ajabu ya kulazimishana kufa! tena kama ni mimi natafuta mwingine chap tunapima alafu nampa kibadamo ya nguvu!
 
nimeamini hakuna kiumbe kipole duniani nikikumbuka binti alivyokuwa kapole na mstaarabu lakini leo kawa kama mbogo
 
kiukweli kuna wanume wanamaamuzi magumu ,, nitamshauri akiweza sawa
 
Mwenyezi mungu amuepushie hili na jengine,huyo mkewe katumwa? ashukuru kua huyo jamaa yuko nae angekua mwengine mbona angepiga mbio.....
 
huyo mwanamke chenga tupu na pia ni muuaji..atalazimishaje mapenzi bila ndom ilhari anajijua kuwa ni mwathirika..tena uenda alikuwa anajijua ameathirika toka kitambo sema akaamua kukaa kimya tu...huyo jamaa akaze alee hiyo mimba zen dem akijifungua asepe..ila cha msingi asitelekeze mtt tu..ni damu yake hiyo
 
Alishawahi kuka na huyoo mkee wakee na kumuuliza alipataje vvu .je alizaliwa nao?huyoo rafiki yako inaitajikaa mtu wa kukaa naye karibu amjenge kisaikolojia ilaa c ww maana ikiwa ww mwishowe mke wake atasema unatembea naye .

mtafutie mtaalamu wa kisaikolojia km kwelii umeamua kumsaidia rfk yk na swalaa LA kuduu kwa sasa mmmmmmmhhh htaa mm simshauri coz huyoo mwanamke kadhamiria kumwambukiza huyoo jamaa wafeee wt

.ilaaa yote ya yote AMUWEKE MUNGU KWENYE HILII JAMBO HAKIKA ATAMSAIDIAA.
 
miss chagga pole sana na jela
Ashikilie msimamo wake bila condom hapana ...
du miss chagga alikuwa lupango....back to the topic asikubali hata kwa kondom...huyo anaweza hata kumwambukiza kwa nguvu...you never know anaweza hata kumg'ata!apige chini aanze upya kama mtoto akizaliwa atatoa matumizi...
 
Last edited by a moderator:
walishauriwa na moja ya njia ni kutumia kinga binti hataki hilo swala la kinga anasema ni dhambi

ni mtambo huyo binti yaani kutumia kinga ni dhambi lakini yeye kuuleta ukimwi ndani si dhambi?waende kwa wazee Wa kanisa watapata muafaka tu na kuwe na pande mbili
 
jamaa anania ya kuvumilia ila binti ana makeke ya ngono mno
 
ni mtambo huyo binti yaani kutumia kinga ni dhambi lakini yeye kuuleta ukimwi ndani si dhambi?waende kwa wazee Wa kanisa watapata muafaka tu na kuwe na pande mbili
worse enough bint pia hataki kutumia vidonge anasema Mungu atamponya
 
Jamaa alimuona Israeli....akapenya kwenye tundu la sindano....kunshauri arudi hapo panahitaji kazi ya ziada!

Inaonekana hawezi kuendelea kuishi naye....inabidi tu hiyo ndoa ivunjwe.

Huyo kijana either ni mpuuzi wa kuamini hovyohovyo au mwanamke alikua anaijua hali yake na alipandikiza hilo wazo la kutokupima. Both ways, huyo mwanaume ni sucker for love.

Sasa kijana umeamua kumuamini, stick with it!! Ndio uanaume....keeping your word hata kama ulikosea.
 
sasa huyo mwanamke anataka kumwambukiza VVU huyo kaka au? Huyo dada hana utu hata kidogo, ingekua mm nafukuza maaana yeye hamtakii mema mwenzake
 
nimeamini hakuna kiumbe kipole duniani nikikumbuka binti alivyokuwa kapole na mstaarabu lakini leo kawa kama mbogo
kwa jinsi nnavyomuona huyo dada amekua frastruated sana kutokana na hiyo hali ndio maana amebadilika inahtajika counseling kubwa sana
ila jarbu kuongea na huyo kaka achukulie kama changamoto nyengne ampeleke huyo dada kwa watu wa karibu
pia swala jengne mtu gan wa familia ambae analijua hilo tatzo lake coz ni muhmu sana wajue lolote linaweza kutokea kwa huyo dada
 
Kwanza Alifanya makosa kumwambia kuwa kapima na ni negative.. Ilimpasa kuwa mpole kwa kitambo kidogo ili kutengeneza mazingira ya kuachana kwa amani maana naiona dhamira ovu ya huyo dada.

Sasa ni too late. Na akileta ubishi utakuwa ugomvi wa viwembe au Cold War ya ku-share miswaki. Mwambie huyo kaka yako wa kuchonga kwamba atumie wazee wao wa pande zote waone namna ya kutenganisha maji na mafuta. Ni ngumu kumeza lakini hakuna namna.


Goodluck Mshana
 
sasa huyo mwanamke anataka kumwambukiza VVU huyo kaka au? Huyo dada hana utu hata kidogo, ingekua mm nafukuza maaana yeye hamtakii mema mwenzake
yeye anasema anataka haki yake ya ndoa swala la VVU anasema ataponywa na Mungu hata dawa hanywi .. ujue hapa hata mtoto tumboni anamtesa kile kiumbe na kinaweza kufa hanywi dawa kula hataki vizuri ngono ndiyo anataka
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…