Jibu lipo hapa ukitumia akili. Umehukumiwa kifo ukapigwa risasi ya moyo ukaangua chini Polisi wameondoka. Hafla ukahisi mapigo ya moyo na kunyanyuka. Jee utaondoka na kuhama mji na kuendelea na maisha yako? au Utawafuata Polisi waimalize kazi yao na kukuuwa?
Jibu lipo hapa ukitumia akili. Umehukumiwa kifo ukapigwa risasi ya moyo ukaangua chini Polisi wameondoka. Hafla ukahisi mapigo ya moyo na kunyanyuka. Jee utaondoka na kuhama mji na kuendelea na maisha yako? au Utawafuata Polisi waimalize kazi yao na kukuuwa?
Bikira Mariamu aliweza kumpata Yesu kwa uweza wa Roho Mtakatifu...ila kupata hii kitu kwa uweza wa roho hesabu za mlevi zinakataa...anyway! Hizi ndoa zina mambo mengi...
Hapo hakuna ndoa. Iyo ingekuwa imenitokea mimi hapo hapo mwanamke angepigwa chini mara moja. Kwanini tangu mwanzo hakusema ameungua? Hakuna ndoa inayofungwa kwa misingi ya uwongo. Ndoa batili