Nampurukano
JF-Expert Member
- Jul 17, 2015
- 1,846
- 2,267
Ukiniambia maskini hana samani nakushangaa!!!!
Nijuavyo Mimi mjinga au ******** ndio huwa hasaminiki ukiwa maskini na ukawa na hekma na busara nani atakukwepa
Mtu mwenye busara na hekima hawezi kuwa maskini. Maskini ni mtu aliyeshindwa kuyamudu mazingira yake. Hiyo busara itakujaje wakati umeshindwa kupata chakula chako wakati kila kitu kiko kawaida.