1. Kwa miezi minane sasa CKHT hakijapewa fungu lake la OC kutoka serikalini (HATA SENTI TANO!)
Hali hii imesababisha shughuli za kawaida za chuo kukwama.
(Makamu Mkuu wa Chuo akiongea na wanachuo - Dar)
2. Teaching Practice ambayo ilikuwa ianze sasa imeahirishwa hadi hapo itakapotangazwa - kutokana na ukata unaokikabiri chuo!
(DVC-Academic- Prof. Bisanda- OUT Website)
Kwa serikali: Serikali haikitendei haki CKHT hata kidogo...
Kwa uongozi wa serikali ya wanafunzi (OUTSO): Ni wakati wa kuchukua hatua sasa....
Nawasilisha
Hali hii imesababisha shughuli za kawaida za chuo kukwama.
(Makamu Mkuu wa Chuo akiongea na wanachuo - Dar)
2. Teaching Practice ambayo ilikuwa ianze sasa imeahirishwa hadi hapo itakapotangazwa - kutokana na ukata unaokikabiri chuo!
(DVC-Academic- Prof. Bisanda- OUT Website)
Kwa serikali: Serikali haikitendei haki CKHT hata kidogo...
Kwa uongozi wa serikali ya wanafunzi (OUTSO): Ni wakati wa kuchukua hatua sasa....
Nawasilisha