Mzalendo K
Member
- Jun 22, 2012
- 32
- 13
- Thread starter
-
- #61
Ama kweli sikio la kufa alisikii dawa hivi bado Tz kuna watu mabwege kama wewe ? Alafu unajiita mzalendo .wabunge wa ccm wote ni wanafiki kama nape na dhaifu kama jakaya.
Breini konkasheni!Baada ya bajeti hii kupita kwa kishindo, CDM itakuwa imevunja rekodi ya kuwa Chama kinachosimamia mambo hewa yasiyokuwa kila kukicha, itabidi sasa wabadili jina!!! Napendekeza kiitwe CHAMA HEWA!!... bahati mbaya sana cdm kimeshindwa kukwepa hatima hii mbaya na mbovu..
TAFADHALI ANGALIENI HUYU JAMAA NI KAANZA LEO TUU NA NADHANI AMEINGIA KUWAWASHA MOTO NA KUONDOA
HEKIMA HUMU NDANI YA JAMII FORUM....
Join Date : 22nd June 2012
Posts : 2
Rep Power : 0
Likes Received1
Likes Given0
Kajiunga Leo...
Sasa Kama Bajeti Imepita Sawa lakini kuna ukweli kuwa hakuna PESA!!!
Hapana mie sio great thinker mie mlala hoi hata shule sijaenda!! Lakini ndio mtoa kura
Baada ya bajeti hii kupita kwa kishindo, CDM itakuwa imevunja rekodi ya kuwa Chama kinachosimamia mambo hewa yasiyokuwa kila kukicha, itabidi sasa wabadili jina!!! Napendekeza kiitwe CHAMA HEWA!!... bahati mbaya sana cdm kimeshindwa kukwepa hatima hii mbaya na mbovu..
Kweli bange ni mbaya sana kwa matumizi ya binadamu
Baada ya bajeti hii kupita kwa kishindo, CDM itakuwa imevunja rekodi ya kuwa Chama kinachosimamia mambo hewa yasiyokuwa kila kukicha, itabidi sasa wabadili jina!!! Napendekeza kiitwe CHAMA HEWA!!... bahati mbaya sana cdm kimeshindwa kukwepa hatima hii mbaya na mbovu..
Baada ya bajeti hii kupita kwa kishindo, CDM itakuwa imevunja rekodi ya kuwa Chama kinachosimamia mambo hewa yasiyokuwa kila kukicha, itabidi sasa wabadili jina!!! Napendekeza kiitwe CHAMA HEWA!!... bahati mbaya sana cdm kimeshindwa kukwepa hatima hii mbaya na mbovu..
una laaaana ya wazazi wako nahisi ulizaliwa kipindi cha pepopundaBaada ya bajeti hii kupita kwa kishindo, CDM itakuwa imevunja rekodi ya kuwa Chama kinachosimamia mambo hewa yasiyokuwa kila kukicha, itabidi sasa wabadili jina!!! Napendekeza kiitwe CHAMA HEWA!!... bahati mbaya sana cdm kimeshindwa kukwepa hatima hii mbaya na mbovu..
Uhanis nayo sifa kamanda>>>>>>>!!!!
Hapana mie sio great thinker mie mlala hoi hata shule sijaenda!! Lakini ndio mtoa kura
View attachment 57268
Kazi inaendelea! hakuna kulala, hata mkituhonga lakini bado hatutaacha!!
Hapana mie sio great thinker mie mlala hoi hata shule sijaenda!! Lakini ndio mtoa kura