Mniombee kwa kweli, watu wana mafile yetu alafu wapo busy kulewa πWatu wanalewa na wanajua wana siri za watu shenziiii kabisa
Wakuache babu yangu wasikutangulize mpaka upokee koti la babu
Babu mi kifua ninacho hata ukiaga unaenda kwa bibi yule mdogoMniombee kwa kweli, watu wana mafile yetu alafu wapo busy kulewa π
Mjukuu jifunzeni kuwa na vifua, mtatuua babu zenu walahi
Nasubiri kwa hamu hilo koti kwa kweli π
Ni kazi kama kazi nyingine.Wanadoria mitandaoni wajitafakari kwa kazi yao hiyo waliyopewa ya laana.
Afadhali presha yangu itashuka sasa, maana nilivyoona ile juzi unamweleza waiter akuongeze Savannah baketi ya tatu, nikajua sasa niage tu gudubai πBabu mi kifua ninacho hata ukiaga unaenda kwa bibi yule mdogo
mi sisemi najua tu babu najaribu kilimo kipya sio kila siku tikitiki maji mimaji teleeπ π
Wasi wasi wako babu hata nikinunuliwa jack Daniel na shushu bado siri zako zipo salama π€ͺAfadhali presha yangu itashuka sasa, maana nilivyoona ile juzi unamweleza waiter akuongeze Savannah baketi ya tatu, nikajua sasa niage tu gudubai π
Kuna watu wametelekeza IDs humu kutokana na siri zao kuvuja/kuvujishwaWasi wasi wako babu hata nikinunuliea jack Daniel na shushu bado siri zako zipo salama π€ͺ
π π π π mimi silewi nikinywa Jack Daniel hata mia sijui why labda sasa nijaribu kiko kama ya babuππKuna watu wametelekeza IDs humu kutokana na siri zao kuvuja/kuvujishwa
Wewe hadi unywe Jack Daniel ngapi ndiyo unalewa? Au hadi uchanganye na Kiko kubwa kama ya babu yako ndiyo unalewa π
Haaahaa π π nimekuelewa brother..Hahahahaπ hata kama nimetokea milima ya Upareni ila sina ule ushamba wa yule mwana
Duuuh umeelewa nini hapo mkuu?Haaahaa π π nimekuelewa brother..
Kasema yeye sio billionaire LUKOSIDuuuh umeelewa nini hapo mkuu?
Hahaha umenivuruga mara 2 mkuu ila sawa nimekuelewa tenaKasema yeye sio billionaire LUKOSI
Ukipata wasaa MCHEKI YouTube CHRIS LUKOSI..Hahaha umenivuruga mara 2 mkuu ila sawa nimekuelewa tena
Sawa mkuu ngoja hapa muda ninao niingie huko YouTubeUkipata wasaa MCHEKI YouTube CHRIS LUKOSI..