Weka hata taa ya purple .. whatever .. kesho tutaambiwa tulale na nguo za purple .. its endless .. what i believe tatizo ni psychological especially na ugumu wa maisha .. mpaka mtu ufikie kiwango flani cha satisfaction kwenye maisha .. then mambo yanajiseti yenyewe, mathalan .. huna hata hela ya mlo mmoja kwa siku .. ama unawategemezi wengi .. kazi yenyewe ya kubahatisha .. sincerely tell me can rangi ya shuka matter to you .. wengine hata kukumbuka kalalia rangi gani last night hakumbuki .. yeye anawaza maisha tu .. utulivu wa nafsi unachangia sana bila hivyo hata gunia waweza lalia ilimradi kuche