Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 359,869
- 828,403
Jana ilikuwa siku ya wandwanao maandalizi yalikuwa mengi huko magetoni.. Hasa usafi kwa ajili ya maandalizi
Shughuli ya usiku wa jana imewaacha wengi wakiwa hoi na uchovu mwingi na wengine muda huu wanaperuzi mitandaoni wakiwa bado vitandani
Waliopata wageni wa kulala muda huu ndio wanapata wasaa wa kutathimi hali ya kitanda/godoro/mito. Vurugu za usiku wa wapendwanao zimefaragua shuka nzuri na sasa kuna siri zinatoka!😂
Mito iliyotumika kama kigogo mpaka foronya zikapanda juu kwa shuruba sasa ni wakati wa kuonesha yasiyopaswa kuonekana! Angalia yako utaona
Godoro lilivyo chafu na cover isiyotamanika.. Mito iliyojaa jasho, uchafu., michirizi ya udenda wa usingizi
Vingine vina uchafu na madoa ya off target kwenye harakati za utamu.. Uchafu uliopenya mashuka na foronya za mito🤪
Wengi wetu ni wasafi na watanashati wa nje.. Tunanukia na kumeremeta lakini ndani tumefutika uvundo na uchafu mkubwa
Usafi na management ya magodoro na mito yetu ni very very poor.. Tunajipa matumaini ya uokozi wa shuka, bed covers na foronya.. Lakini ukivitoa hivyo vitu magodoro na mito yetu ni majanga makubwa..
Nitarejea....
Shughuli ya usiku wa jana imewaacha wengi wakiwa hoi na uchovu mwingi na wengine muda huu wanaperuzi mitandaoni wakiwa bado vitandani
Waliopata wageni wa kulala muda huu ndio wanapata wasaa wa kutathimi hali ya kitanda/godoro/mito. Vurugu za usiku wa wapendwanao zimefaragua shuka nzuri na sasa kuna siri zinatoka!😂
Mito iliyotumika kama kigogo mpaka foronya zikapanda juu kwa shuruba sasa ni wakati wa kuonesha yasiyopaswa kuonekana! Angalia yako utaona
Godoro lilivyo chafu na cover isiyotamanika.. Mito iliyojaa jasho, uchafu., michirizi ya udenda wa usingizi
Vingine vina uchafu na madoa ya off target kwenye harakati za utamu.. Uchafu uliopenya mashuka na foronya za mito🤪
Wengi wetu ni wasafi na watanashati wa nje.. Tunanukia na kumeremeta lakini ndani tumefutika uvundo na uchafu mkubwa
Usafi na management ya magodoro na mito yetu ni very very poor.. Tunajipa matumaini ya uokozi wa shuka, bed covers na foronya.. Lakini ukivitoa hivyo vitu magodoro na mito yetu ni majanga makubwa..
Nitarejea....