Yeye si aliunda kundi la waasi na alikubali mwenyewe waliua watu, hapo anaonewa vipi, hakuna serikali duniani inaweza kukubali huo upuuzi, usalama wa watu ni priority ya nchi yeyote Duniani....mengine ni propaganda tu.
kitu hujajua ni kwamba rwanda ina vitengo vikuu viwiliDemocracy yenu iliwaletea nini?bora huyo dictator anafanya makubwa,ona hapa after kutia ndani gaidi wamepewa bonge la deal!.
View attachment 1949793
View attachment 1949794
View attachment 1949795
View attachment 1949796
Nadhani ulikwisha kulipata jibu kuhusu Filamu na huyo mtu Paulo Rusesabagina.Naomba kufahamu kuhusu huyu aliyehukumiwa na uhusika wake katika filamu ya Hotel Rwanda,,