Mr Putin
JF-Expert Member
- Feb 13, 2019
- 486
- 491
Hujui lolote ndio maana unakurupuka! Kuingilia usio yajua. Je ni kikupa proof kua ali rearchiwa na Police ya Ubelgij huko nyumbani brussels? Documents,chats zote zipo,na alipopewa onyoo kua akiendelea atashitakiwa ndio aka kimbilia USA San antonio. Na safari ya ya kukamatwa alitoka USA handi Dubai mwenywe kwa kuamini kua anaenda Burundi kwenye hizo harakati.FBI na ubelgiji wapi na wapi ndugu???