Mashosti wanagombania mjegeje Mweeeeeee

MaxShimba

JF-Expert Member
Apr 11, 2008
35,772
4,054
558171_453949601322648_1023324687_n.jpg
 
Duh,we Mbuzi Mzee ni balaa,nashukuru kamera yako haikunichukua muhusika mkuu
 
Last edited by a moderator:
ndio maana huwa napenda sana kuangalia ngumi za kina dada maana lazima tu watavua nguo yaani huwa hawapigani wanajitahidi kuchana nguo au kumvua nguo mwenzake
 
Huu umasikini ni mbaya inawezekana huyo wa chini ananunua nguo kwa awamu alianza na tshirt sket bado chupi na viatu.Sipati picha baada ya tukio alianza kuosha nini
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom