Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,806
- 59,285
Anaongelea kina anti Salum na wenzie.mtoa mada anakusudia mashoga wa kike, km AshaDii na Lizzy, au Smile na Kin'gasti au mie na Amyner n.k, au mie ndo sijafaham?
Anaongelea kina anti Salum na wenzie.mtoa mada anakusudia mashoga wa kike, km AshaDii na Lizzy, au Smile na Kin'gasti au mie na Amyner n.k, au mie ndo sijafaham?
Anaongelea kina anti Salum na wenzie.
Na wa kike pia tujitaje, ama tangazo ni la wanaume tu?
(Thorrreeee, unatafuta mwenza?!)
Na wasagaji wanaitwaje? Kina Uncle Suzy?
sidhani kama humu ndani kuna watu wenye tabia hii maana watu wenye tabia za kishoga au mashoga story zao kikekike tu humu hawawezi kukaa
sidhani kama humu ndani kuna watu wenye tabia hii maana watu wenye tabia za kishoga au mashoga story zao kikekike tu humu hawawezi kukaa
mnnnnnh hapa sijui pamekaaje
mtoa mada anakusudia mashoga wa kike, km AshaDii na Lizzy, au Smile na Kin'gasti au mie na Amyner n.k, au mie ndo sijafaham?
makubwa unawatafuta wenzio mkuu?
Mabasha hutaki kutambua uwepo wao? tupo hapa!Nadhani kwa kila penye mkusanyiko na wao wapo katikati yenu!sasa kama nihivyo na mnapenda mtambuliwe kisheria basi matembezi uanzia nyumbani kwa mantiki hiyo kama wanajamii tulioko jf tungependa tuwafahamu!