ZionTZ
JF-Expert Member
- Oct 6, 2009
- 1,282
- 541
koba punga, kwenye biblia sodoma na gomora hivi vitu ni against God teachings weye koba unahalalisha, koba lazima mtoto wa watu.
am worried too, koba koba take care....
koba punga, kwenye biblia sodoma na gomora hivi vitu ni against God teachings weye koba unahalalisha, koba lazima mtoto wa watu.
Nabishana na marofa tuu humu,ila Historically haki haipewi bure kwa yeyote,hawa ni party of our society na wapo kila kona hii dunia...kama slavery ilienda for hundrelds of yrs na watu walikufa kwa ajiri ya kuipinga,sitaona ajabu hawa mashoga nao one day watashinda vita yao,na mnao tumia dini kumbukeni hata kwenye hizo books zenu slavery ilikuwa legit ingawaje kwa sasa its unheard mtu kusuggest ule ushenzi
...wewe acha urofa,kutetea mashoga sio lazima uwe shoga,hivi nyie watu mnaishi wapi maana mnaonekana bado mnaishi kwenye ujima, hata Obama anawatetea sana na ameanza reverse ya sheria zinazowakandamiza
...kutetea mashoga doesnt mean mimi ni shoga ni urofa tuu unakusumbua wewe,hata interracial relationship zilikuwa illegal under the law (in US) na watu walienda jela kwa hizo discriminatory law na basis ya hiyo law eti it was "UNNATURAL",mashoga wapo walikuwepo na wataendelea kuwepo sasa kwanini kuwabagua kwa sababu ya imani ambazo hazina proof yeyote,generation ya watu kama wewe mngetangulia mtu mweusi bado angekuwa anakaa behind the bus
acha bana huu ni upuuzi tuu,haya majamaa hayana ishu kabisa,yani we kama unatetea lazima kuna kitu au unaliwa au unalo moja unapoozea,mtu mzima na akili zako,huwezi tetea huu ujinga hata kidogo.....lack of education and understanding ndio maana mnaongea hizo pumba zenu!
You is gay
MASHOGA, WASAGAJI NA WATU WANAOUNGA MKONO MASHOGA PAMOJA NA WANAOFANYA WALAANIWE, WAUAWE. HAWANA TOFAUTI NA WAUAJI WA MA ALBINO. KUUA MAADILI YA MTU NI KUMUUA MTU MWENYEWE.
....im not gay and theres nothing wrong with being gay,they deserve the same rights as the rest of us!
Nyie tukaneni na mniite punga mnavyotaka ila mimi sio punga na sioni tatizo lolote kwanini wanyimwe haki wanazostahili,ningekuwa na uwezo ningewapa haki zao zote na kuwapa protection under the from haters kama nyie!
Wewe Obama ndio "reference yako" kwa kuwa yeye amesign ndio yuko right..umeishiwa kwelikweli..hembu tuondolea ushoga wako...hiloooooooooooooooo!...i think debating mashoga hapa JF is a waste of time ni kama mtu mweusi kwenda kuoa Southern states ,amini mnachoamini ila the good thing wanaoweka sheria sio nyie ni watu kama kina Obama ambao wako in favor na wanaelewa umuhimu wa kuweka sheria za kulinda watu wote katika society!
waliwahi kugharikishwa zamani hizooo....kwa mujibu wa maandiko matakatifu...dawa yao ni kuwafuta kwenye uso wa dunia..this is nonsense!