Subira the princess
JF-Expert Member
- Mar 3, 2018
- 2,474
- 2,649
Wasalam, kuna taarifa kwamba baadhi ya mashoga wamedhamiria kutaja hadharani majina ya wanaume wanaotoka nao kimapenzi endapo watakamatwa na kuhojiwa. Inaelezwa kwamba wamo vigogo wazito kutoka secta binafsi, serikalini na baadhi ya taasisi za kidini.
Naona kama picha ndo linaanza zijajua mwisho tuendelee kuangalia.
Naona kama picha ndo linaanza zijajua mwisho tuendelee kuangalia.