CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,789
- 8,921
Wakuu kwa kweli nakuwa wa Kwanza Kupongeza Baadhi ya Mashirika ambayo kwao Vyeti si ishu bai uwezo binafisi, Nakumbuka nilisha wahi hudhuria usaili katika Mashirika Matatu tofauti ambayo yote ni kutoka nje ya Nchi ila wana ofisi Bongo,
Katika Interview zao sikuombwa vyeti na na kumbuka katika Shirika Moja ambalo wasaili walikuwa ni Wazungu walifikia kuniuliza aliye kuambia ukete vyeti ni Nani? Na walinijubu hatuhitaji Vyeti hapa,
Hii nchi Imefikia Mahali Vyeti vinaonekana ndo kila kitu, na si uwezo wa Mtu binafisi, Mimi nayapongeza sana Mashirika yanayo fanya hivyo na mimi Mungu akinisaidia katika UJasirimali wangu si takaa ni ajili mtu kwa kumuuliza elimu yake bali kinacho mata ni uwezo,
Kuna watu wameshia Form Six lakini utakuta uwezo wao ni zaidi ya wenye degree na kuna ambao hawajaenda shule kabisa lakini wameweza hata Kugundua Mitambo fulani huku Ma Prof wakishindwa
Katika Interview zao sikuombwa vyeti na na kumbuka katika Shirika Moja ambalo wasaili walikuwa ni Wazungu walifikia kuniuliza aliye kuambia ukete vyeti ni Nani? Na walinijubu hatuhitaji Vyeti hapa,
Hii nchi Imefikia Mahali Vyeti vinaonekana ndo kila kitu, na si uwezo wa Mtu binafisi, Mimi nayapongeza sana Mashirika yanayo fanya hivyo na mimi Mungu akinisaidia katika UJasirimali wangu si takaa ni ajili mtu kwa kumuuliza elimu yake bali kinacho mata ni uwezo,
Kuna watu wameshia Form Six lakini utakuta uwezo wao ni zaidi ya wenye degree na kuna ambao hawajaenda shule kabisa lakini wameweza hata Kugundua Mitambo fulani huku Ma Prof wakishindwa