Inategemea ulikuwa unafanya usaili kwa post gani.Post nyingine vyeti siyo vya muhimu.Mimi nikianzisha kampuni yangu vyeti ndiyo kigezo namba moja ili utofauti uwepo na faida hasi ya kutowasilikiza walimu darasani ionekane.
mh wewe kweli wa enzi za mkoloni.