Don Mangi
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 2,199
- 855
Mwenye ufahamu kuhusu hili,
Zinahitajika mashine mbili za kutengeneza chakula cha kuku. moja ni ya kusaga na nyingine ya kuchanganya, au ikipatikana unit nzima inayofanya kazi yote pia nayo ni sawa.
Naomba anayejua ani PM specifications za mashine aliyonayo plus bei.
Shukrani.
Zinahitajika mashine mbili za kutengeneza chakula cha kuku. moja ni ya kusaga na nyingine ya kuchanganya, au ikipatikana unit nzima inayofanya kazi yote pia nayo ni sawa.
Naomba anayejua ani PM specifications za mashine aliyonayo plus bei.
Shukrani.