Mashine za kutengeneza chakula cha kuku zinahitajika

Mashine za kutengeneza chakula cha kuku zinahitajika

Don Mangi

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2010
Posts
2,199
Reaction score
855
Mwenye ufahamu kuhusu hili,
Zinahitajika mashine mbili za kutengeneza chakula cha kuku. moja ni ya kusaga na nyingine ya kuchanganya, au ikipatikana unit nzima inayofanya kazi yote pia nayo ni sawa.
Naomba anayejua ani PM specifications za mashine aliyonayo plus bei.
Shukrani.
 
Mkuu nafahamu mtu anaye tengeneza hizo mashine huku Arusha na nilikuatana naye SIDO pamoja na kwenye maonyesho ya 88, Ila kwa sasa sina namba yake ngoja kesho nitajaribu kumfuata kwenye ofisi yake make napafahamu, wewe uko wapi? ni PM namba yako then nikiipata yake nitakutumia au nitaiweka humu kila anaye taka amtafute, Jamaa anatengeneza mashine kubwa na Ndogo na kuna ya kubeba tani moja hadi tani 3 kwa wakati mmoja,
 
Kwa bei zilikuwa zina renj milioni Mbili na nusu hadi tano kama sikosei, Ila nikimpata ndo atatoa melezo zaidi make ni muda sana
 
Kwa bei zilikuwa zina renj milioni Mbili na nusu hadi tano kama sikosei, Ila nikimpata ndo atatoa melezo zaidi make ni muda sana

Nashukuru mkuu, nimeku pm namba yangu nangojea hiyo kitu.
 
Mkuu nafahamu mtu anaye tengeneza hizo mashine huku Arusha na nilikuatana naye SIDO pamoja na kwenye maonyesho ya 88, Ila kwa sasa sina namba yake ngoja kesho nitajaribu kumfuata kwenye ofisi yake make napafahamu, wewe uko wapi? ni PM namba yako then nikiipata yake nitakutumia au nitaiweka humu kila anaye taka amtafute, Jamaa anatengeneza mashine kubwa na Ndogo na kuna ya kubeba tani moja hadi tani 3 kwa wakati mmoja,

Ukipata info zimwage hapa utasaidia wengi pamoja na huyo mjasiriamali
 
Back
Top Bottom