Hizi ni mashine maalumu kwa kushona nguo zako ukiwa popote pale na kuokoa muda wako. Kuna nguo nyingi sana tunaona aibu kuzipeleka kwa fundi kushonewa sasa hii mashine itakufaa, nguo za watoto wadogo ambazo mara nyingi hazidumu basi hii mashine ndio suruhisho, wapambaji wa maharusini hii mashine inawafaa sana. Haitumii umeme wala betri bali ni mkono na nguvu zako tu.Ukihitaji moja nauza 20,000 na ukinunua kuanzia tatu nakuuzia 18000 piga simu. 0718520552
TIZAMA HAPA INAVYOFANYA KAZI