Mashine ya Matofali

sasa wewe ukisema pale mbagala pele ndo misesema nini? sema mbagala wapi (sehemu gani) wee fipiiii?!!

Mbagala near dar live waulize wale wafanyakazi wa shigongo watakuelekeza,maana pale dar live walikua wanapiga matofali zamani kabla shigongo ajajenga ukumbi.
 
Ndio maana yake Mkuu, kitaalamu inaitwa INTERLOCKING BRICK PRESS MACHINE. But interlocking blocks zipo za aina tofauti. Machine hubadilika kutokana na aina ya matofali.

Asante kwa somo Mkuu. Kutokana na jibu lako kuwa mashine hubadilika kutokana na aina ya matofali, je, inahitajika kuwa na mashine zaidi ya moja katika ujenzi wa nyumba?
 
Asante kwa somo Mkuu. Kutokana na jibu lako kuwa mashine hubadilika kutokana na aina ya matofali, je, inahitajika kuwa na mashine zaidi ya moja katika ujenzi wa nyumba?

Design moja inatosha kujenga nyumba nzima. Kwa hiyo machine moja ni muafaka mkuu
 
Mkuu hii Machine inaoperate manually, hivyo inategemea sana nguvu zako na speed yako tu. Ni vyema ukajipima mwenyewe, au ukampima kijana unayetaka kumkabidhi (hakuna suala la machine kuchemsha hapa)

Huwezi ku estimamte kwa mwanamume wa wastani anaweza kupiga tofali ngapi kwa siku?
 
Huwezi ku estimamte kwa mwanamume wa wastani anaweza kupiga tofali ngapi kwa siku?

Kwa kweli mkuu sitaweza, ila ningekushauri utumie hizo contacts hapo juu kwa ushauri wa kitaalamu zaidi. Vile vile kama upo kibiashara, ni vyema ukafikiria kuwa na watu wawili kwa machine moja. Ili mmoja akipiga tofali, mwingine anabeba, (halaf wanabadilishana). Kwa mtindo huu utatengeneza tofali nyingi zaidi kwa siku. Uzuri ni kwamba hutahitaji skilled labours
 
Nimewauliza wanasema average ya tofali 150 kwa siku kama una vijana wawili.
But i doubt it!
Nilikuwa na vijana watatu walikuwa wanafyatua mifuko 10 ya cement kwa siku mfuko mmoja tofali 50
 
NAHITAJI MASHINE KAMA HII, NTAIPATA WAPI?

xxx3.jpg
We mtafute huyo jamaa kwenye Picha alieishika hiyo Mashine umuulize, atakua anajua tu,
Labda akubanie
 
kuna zingine apo arusha kamatech, zinatengeneza matofal ya udongo yasiyo na cement at least haziitaji nguvu sana. na tofali ni saizi ndogo kama nusu ya hiyo unayoiona kwenye picha, bei 950,000 tzs.
 
kuna zingine apo arusha kamatech, zinatengeneza matofal ya udongo yasiyo na cement at least haziitaji nguvu sana. na tofali ni saizi ndogo kama nusu ya hiyo unayoiona kwenye picha, bei 950,000 tzs.

sasa @ANKOJEI hii idia yako nami imenigusa,sasa unawezaje kunisaidia ili nipate mawasiliano na hawa jamaa wa kamatech,maana mimi nipo mkoani huku,utakuwa umeni-kampani sana yaani ili nifanyie kazi ushauri wako
 
sasa @ANKOJEI hii idia yako nami imenigusa,sasa unawezaje kunisaidia ili nipate mawasiliano na hawa jamaa wa kamatech,maana mimi nipo mkoani huku,utakuwa umeni-kampani sana yaani ili nifanyie kazi ushauri wako

Contact zao ni hizi hapa
The Director General, CAMARTEC, P. O. Box 764, Arusha, Tanzania.

Tel: +255272573222 OR +255 27 2553214
Email: carmatec@hotmail.com

 

Contact zao ni hizi hapa
The Director General, CAMARTEC, P. O. Box 764, Arusha, Tanzania.

Tel: +255272573222 OR +255 27 2553214
Email: carmatec@hotmail.com



duh interpreneur inabidi ubadili jina ujiite google lol! full data maswali yote humu umeyajibu na umepata 100/100

ila kwa kuongezea tu hata mi ninayo kwa mfuko mmoja wa sement napata tofali 120 udongo natumia vumbi la mawe au wanaita ''morram'' mashine inahitaji kumwagiwa oil mara kwa mara ratio ya udongo na cement ni 1:40 maji ndoo 3 za lita 20 ila hii ratio inategemea na aina ya udongo na kiasi cha mfinyanzi kwenye udongo ila kuna mashine zake za kutumia disel au umeme zinatoa tofali zinazolingana na kwa siku fundi3 wanapiga tofali 500 wakichoka 400 ila haivunji kiuno na ukinunua mashine kwa hawa wa TBA au NHBC wanatoa training bure kwa vijana utakao watumia kukufanyia kazi hadi wafuzu tayari kufanya biashara au kujengea nyumba yako. yako economic unasave hela ila yanatumia maji mengi kumwagiliwa kama ya tofali za cement za kawaida. ukihitaji tufanye biashara kwa anayetaka nauza tofali moja sh. 900 hapa utajenga nyumba bila kuwa fisadi
 
duh interpreneur inabidi ubadili jina ujiite google lol! Full data maswali yote humu umeyajibu na umepata 100/100

ila kwa kuongezea tu hata mi ninayo kwa mfuko mmoja wa sement napata tofali 120 udongo natumia vumbi la mawe au wanaita ''morram'' mashine inahitaji kumwagiwa oil mara kwa mara ratio ya udongo na cement ni 1:40 maji ndoo 3 za lita 20 ila hii ratio inategemea na aina ya udongo na kiasi cha mfinyanzi kwenye udongo ila kuna mashine zake za kutumia disel au umeme zinatoa tofali zinazolingana na kwa siku fundi3 wanapiga tofali 500 wakichoka 400 ila haivunji kiuno na ukinunua mashine kwa hawa wa tba au nhbc wanatoa training bure kwa vijana utakao watumia kukufanyia kazi hadi wafuzu tayari kufanya biashara au kujengea nyumba yako. Yako economic unasave hela ila yanatumia maji mengi kumwagiliwa kama ya tofali za cement za kawaida. Ukihitaji tufanye biashara kwa anayetaka nauza tofali moja sh. 900 hapa utajenga nyumba bila kuwa fisadi

,kuu pambanua ratio 1:40 unatumia debe/mfuko wa rambo ama ndoo ili wanaotaka kujaribu wajue wanapima na nini najua engineers wanajua unaongea nini lakini si wote wanaoujua mpwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom