Mashine ya kumenya na kukausha muhogo

Mashine ya kumenya na kukausha muhogo

Kampuni

Member
Joined
Jul 12, 2013
Posts
19
Reaction score
0
Habari wanajamvi?
Kwa wale wanaofahamu makampuni au wajasiriamali wanaotengeneza mashine za kumenya na kukausha mhogo (cassava peeling/drier machine) anielekeze ama anipe contact zao please. Natanguliza shukrani kwa michango yenu.
 
Hili si jukwaa sahihi. Jaribu kwenda SIDO mkuu.
Is that a good business? how does it works?
share nasi hiyo biashara mkuu
 
N
Habari wanajamvi?
Kwa wale wanaofahamu makampuni au wajasiriamali wanaotengeneza mashine za kumenya na kukausha mhogo (cassava peeling/drier machine) anielekeze ama anipe contact zao please. Natanguliza shukrani kwa michango yenu.
Naenda 8 / 8 leo kuna jamaa wametokea Sengerema nitakupa jibu kesho!
 
Habari wanajamvi?
Kwa wale wanaofahamu makampuni au wajasiriamali wanaotengeneza mashine za kumenya na kukausha mhogo (cassava peeling/drier machine) anielekeze ama anipe contact zao please. Natanguliza shukrani kwa michango yenu.
dry machine ya cassava ninawafahamu wanao tengeneza,ili peeling cjui
 
Back
Top Bottom