tisa desemba
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 434
- 114
Wadau naombeni msaada kwa yeyote anayejua zinapouzwa mashine za kukata aluminium na bei zake plz anijulishe. nahitaji kuipeleka mkoani. msaada plz.
Kariakoo mataa wa kongo barabara ya uhuru upande wa kulia kama unaenda mnazi mmoja. Zunguka kwenye ile mitaa utaziona nyingi tu.
Wapi znapatkana c tatizo,maeneo yote ya gerezani ndio maduka yake ilimradi uwe na muda kdogo,ishu ni je uko familia na hizo mashine? La cvyo tegemea 'kanyanga'. kila lakheri