Mashine ya Kuchanganya Unga (Dough Mixer) 12KG – Mpya 🔥

Mashine ya Kuchanganya Unga (Dough Mixer) 12KG – Mpya 🔥

ubuntuX

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2014
Posts
1,998
Reaction score
2,242
Unatafuta mashine imara na yenye nguvu kwa ajili ya biashara ya bakery au mgahawa? Hii ni mixer ya unga ya kilo 12 (DAFF type) inayofaa kwa matumizi ya kibiashara.

✅ Specifications:
Uwezo: Kilo 12 za unga
Aina: Spiral dough mixer
Material: Stainless Steel
Umeme: 220V / 50Hz
Nguvu: Motor yenye uwezo mkubwa kwa kazi nzito
Matumizi: Mkate, chapati, pizza, maandazi, n.k.
Mpya kabisa (imefungwa kwenye crate ya mbao)
Sifa Kuu:
Imara na inadumu kwa muda mrefu
Inafanya kazi kimya (low noise)
Rahisi kutumia na kusafisha
Ina kifuniko cha usalama
Inaokoa muda na nguvu kazi
🎯 Inafaa Kwa:
Bakery
Migahawa na Hoteli
Wauzaji wa chakula
Wanaoanzisha biashara ya baking
📦 Upatikanaji:
Inapatikana Dar es salaam mtaa wa Ndanda na Aggrey pia tunasafirisha mikoa yote.
💰 Bei: 1,675,000Tsh
📞 Mawasiliano:
Piga/WhatsApp: [0788622610]
IMG-20240507-WA0011.jpg

IMG-20240507-WA0012.jpg

P
 
Back
Top Bottom