Kama ni kinu cha kutumika kwenye motor ni laki 8 na vile vinu vya kutumia kwenye dizeli engine ni laki 7Wanachonga wapi? Bei?
Vumilia mkuu, ngoja waje kukupa muongozoWakuu, iv iz mashine zinapatikana wapi? Bei zake?
Umeweza. Nami niulize mitaa uliko hakuna inayotokea wanauza complete?Kila mashine ya kukoboa au ya kusaga nafaka ina vitu vifuatavyo:-
1. Motor
2. Kinu chenyewe
3. Starter switch(box)
4. Main Switch
5. Socket Breaker
6. Belts
7. Chassis (angle iron kwa ajili ya foundation)
8. Wires, clamps, bulbs
Motor - Zipo za horse power kuanzia 15,20,25,30, 35, hadi 60
Kinu cha kusaga No 45, 50, 75,100 n.k
Kinu cha kukoboa Roller 2 au 3
Mchanganuo wa gharama za mashine unategemea unataka yenye vigezo vipi, au itakayokidhi wateja wa aina gani.
Binafsi ninazo mashine 2
UnazungunasKila mashine ya kukoboa au ya kusaga nafaka ina vitu vifuatavyo:-
1. Motor
2. Kinu chenyewe
3. Starter switch(box)
4. Main Switch
5. Socket Breaker
6. Belts
7. Chassis (angle iron kwa ajili ya foundation)
8. Wires, clamps, bulbs
Motor - Zipo za horse power kuanzia 15,20,25,30, 35, hadi 60
Kinu cha kusaga No 45, 50, 75,100 n.k
Kinu cha kukoboa Roller 2 au 3
Mchanganuo wa gharama za mashine unategemea unataka yenye vigezo vipi, au itakayokidhi wateja wa aina gani.
Binafsi ninazo mashine 2
Brother naeza Pata mawasiliano yako uka share na mmi experience yako?Kila mashine ya kukoboa au ya kusaga nafaka ina vitu vifuatavyo:-
1. Motor
2. Kinu chenyewe
3. Starter switch(box)
4. Main Switch
5. Socket Breaker
6. Belts
7. Chassis (angle iron kwa ajili ya foundation)
8. Wires, clamps, bulbs
Motor - Zipo za horse power kuanzia 15,20,25,30, 35, hadi 60
Kinu cha kusaga No 45, 50, 75,100 n.k
Kinu cha kukoboa Roller 2 au 3
Mchanganuo wa gharama za mashine unategemea unataka yenye vigezo vipi, au itakayokidhi wateja wa aina gani.
Binafsi ninazo mashine 2
mawasiliano yako basKila mashine ya kukoboa au ya kusaga nafaka ina vitu vifuatavyo:-
1. Motor
2. Kinu chenyewe
3. Starter switch(box)
4. Main Switch
5. Socket Breaker
6. Belts
7. Chassis (angle iron kwa ajili ya foundation)
8. Wires, clamps, bulbs
Motor - Zipo za horse power kuanzia 15,20,25,30, 35, hadi 60
Kinu cha kusaga No 45, 50, 75,100 n.k
Kinu cha kukoboa Roller 2 au 3
Mchanganuo wa gharama za mashine unategemea unataka yenye vigezo vipi, au itakayokidhi wateja wa aina gani.
Binafsi ninazo mashine 2
mkuu, unaitaji mashinemawasiliano yako bas
Asante sana.Kila mashine ya kukoboa au ya kusaga nafaka ina vitu vifuatavyo:-
1. Motor
2. Kinu chenyewe
3. Starter switch(box)
4. Main Switch
5. Socket Breaker
6. Belts
7. Chassis (angle iron kwa ajili ya foundation)
8. Wires, clamps, bulbs
Motor - Zipo za horse power kuanzia 15,20,25,30, 35, hadi 60
Kinu cha kusaga No 45, 50, 75,100 n.k
Kinu cha kukoboa Roller 2 au 3
Mchanganuo wa gharama za mashine unategemea unataka yenye vigezo vipi, au itakayokidhi wateja wa aina gani.
Binafsi ninazo mashine 2
Usisumbuke kutafuta mashine ya aina yeyote utazipata kwetu boss karibu sana 0774150519Wadau, mwenye kujua bei na brand za mashine nzuri za nafaka kusaga na kukoboa anisaidie