Mashindano ya kunywa gongo yaondoka na mshindi

Mashindano ya kunywa gongo yaondoka na mshindi

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
361,050
Reaction score
831,649
Huko Mtwara jamaa mmoja ajulikanaye kama Abdlah Chande amefariki dunia baada ya kuibuka mshindi wa kunywa mizinga minne ya gongo
Kijijini Likolombe mashindano haya yapo kila wakati...

Kipindi hiki washiriki walikuwa wanne ambapo kipenga cha kwanza washiriki wote waliweza kumaliza mizinga ya kwanza
Kipenga cha pili mshindi wa pili alichemsha

Kipenga cha tatu wakabaki wawili na kipenga cha mwisho Marehemu Chande ndio akaibuka mshindi kwa kumaliza mizinga yote mine lakini hakuweza kupokea zawadi yake ya Tsh 2000/= kwakuwa alianguka na kufariki dunia huku mshindi wa pili akiwa hoi
 
Huko Mtwara jamaa mmoja ajulikanaye kama Abdlah Chande amefariki dunia baada ya kuibuka mshindi wa kunywa mizinga minne ya gongo
Kijijini Likolombe mashindano haya yapo kila wakati...
Kipindi hiki washiriki walikuwa wane ambapo kipenga cha kwanza washiriki wote waliweza kumaliza mizinga ya kwanza
Kipenga cha pili mshindi wa pili alichemsha
Kipenga cha tatu wakabaki wawili na kipenga cha mwisho Marehemu Chande ndio akaibuka mshindi kwa kumaliza mizinga yote mine lakini hakuweza kupokea zawadi yake ya Tsh 2000/= kwakuwa alianguka na kufariki dunia huku mshindi wa pili akiwa hoi

Mkuu ulihudhuria Mpambano huo?
 
Huko Mtwara jamaa mmoja ajulikanaye kama Abdlah Chande amefariki dunia baada ya kuibuka mshindi wa kunywa mizinga minne ya gongo
Kijijini Likolombe mashindano haya yapo kila wakati...
Kipindi hiki washiriki walikuwa wane ambapo kipenga cha kwanza washiriki wote waliweza kumaliza mizinga ya kwanza
Kipenga cha pili mshindi wa pili alichemsha
Kipenga cha tatu wakabaki wawili na kipenga cha mwisho Marehemu Chande ndio akaibuka mshindi kwa kumaliza mizinga yote mine lakini hakuweza kupokea zawadi yake ya Tsh 2000/= kwakuwa alianguka na kufariki dunia huku mshindi wa pili akiwa hoi
ulipotelea wapi broo?
 
Hili tukio linanikumbusha 31.12.2012. Jamaa alidai anaweza kunywa bia za Banana kumi ili hali tayari alishalewa.

Aka ahidiwa elfu 20 kama angeweza kumaliza banana 10, naye bila ubishi akaanza kupiga moja moja.

Alipofikisha ya tisa alitapika complex mixture kali sana, robo saa baadae akafa pale pale.

Bia hakumaliza, 20,000 hakupata, wala mwaka mpya hakuuona.Pombe siyo ndugu yako.
 
Huko Mtwara jamaa mmoja ajulikanaye kama Abdlah Chande amefariki dunia baada ya kuibuka mshindi wa kunywa mizinga minne ya gongo
Kijijini Likolombe mashindano haya yapo kila wakati...
Kipindi hiki washiriki walikuwa wane ambapo kipenga cha kwanza washiriki wote waliweza kumaliza mizinga ya kwanza
Kipenga cha pili mshindi wa pili alichemsha
Kipenga cha tatu wakabaki wawili na kipenga cha mwisho Marehemu Chande ndio akaibuka mshindi kwa kumaliza mizinga yote mine lakini hakuweza kupokea zawadi yake ya Tsh 2000/= kwakuwa alianguka na kufariki dunia huku mshindi wa pili akiwa hoi
You have made my morning, nimecheka sana! Ndo maana tulikumiss.
 
Wangempa mshindi wapili hiyo elfu 2 akajiuguze inanikumbusha mwaka 2000 mtaani kwetu kulikuwa na mashindano ya kunya maziwa ya moto kwa dk tano mshindi alikuwa anapewa elfu 10 jamaa alishinda lakini hela yote iliisha kwa ajili ya kujiuguza anadai alikuwa anaona tumboni kama kuna tanuli la moto na ulimi umebanikwa kwenye moto mpaka mwisho wa siku alitumia elfu 30 kujiuguza ilihali yeye alishinda elfu 20
 
Back
Top Bottom