Ruhazwe JR
JF-Expert Member
- Jan 31, 2011
- 3,403
- 920
- Thread starter
- #61
Mwache acheze na moto, lazima nimkate!
advocate whats up?...hujiamin?pale nshapitaga mpaka nikachoka siwezi rud nyuma
Mwache acheze na moto, lazima nimkate!
Nitakupa na tamu aisee.
werawera....sintakimbia maana mi sijawai
ondoa shaka charminglady ni my sister na wewe na brother yangu,hofu ya nin?,relax
Aliekwambia kuwa anakaa Kwa Mtogole nani?
Mtue babu weee!
nikajua nimekupiga ikulu,utanitaili mara ya pili
shemeji nimependa jinsi ulivyoweza kufata utaratibu,mambo vip lakini shemeji langu?habari za tandale kwa mtogole?wazima huko uwanja wa fis?
He jaman si pendekezo la hashim lundenga jamanKwa nini haukuweka jina la mamndenyi?
Mi ningempigia Remmy lakini nimesita aliposema akishinda kwenye sherehe atawakaribisha Shehe Ponda,Mwigulu na Nape,akiahidi kutowaleta hao jamaa kura yangu ataipata..
Kundi A my baby Madame B
Kundi B my client charmglady
ha,ha,ha,teh,te,....hii kura inaujumbe mzito sana kwangu,ha,ha,ha,....dizain ya Kura ilivyopigwa tu imemanisha kitu,hujambo lakini X wangu?
nini tena mama mwanasheria
Madame B nna wasiwasi hili shindano ni kampeni ya jamaa waseja wanataka wajitwalie vigori. mbona mama watoto charminglady bado yumo sana
Tangaza mshindi basi huoni mwenye kura nyingi?