Kundi A bidada Arabela,
Kundi B shostito Yummy.
Aliekwambia kuwa anakaa Kwa Mtogole nani?
Mtue babu weee!
charminglady u have my vote
ha,ha,ha,teh,te,....hii kura inaujumbe mzito sana kwangu,ha,ha,ha,....dizain ya Kura ilivyopigwa tu imemanisha kitu,hujambo lakini X wangu?
charminglady u have my vote
nini tena mama mwanasheria
Remmy umeamua aisee ngoja na mimi nikupigie
kundi A ni Remmy kundi B ni CUTE hapa nadhani kaka Madabhali Jnr ntakuwa nimekutendea haki
We unafanya kazi ya kusimamia kura au kuna kazi nyingine unafanya? Hivi ulisikia kilichomtokea karani wa sensa?
Tangaza mshindi basi huoni mwenye kura nyingi?
Ntakupaaaaa....
Asante kwa kura yako.
advocate ruttashobolwa ora mbela meri,..emu nipe stor ya huyo karani kunani?
Ruhazwe JR nakuangalia tu unavyojifanya hashim lundenga upate wake za watu kwa urahisi. makubwa yatakupata
aashiiii.....tamu,mapigo ya moyo yanaanza kwenda mbio
kuna karani baada ya kuhesabu watu na kuondoka yeye akaiba mke wa mtu akafumaniwa, cha kushangaza mwenye mke ndio alikamatwa eti kwa kuharibu zoezi la sensa maana ilibidi amfunge kamba mke wake na mgoni wake(karani) ili waende dar akalipwe faini! Lakini aliishia rumande kwa kuharibu zoezi la sensa!
Ruhazwe JR nakuangalia tu unavyojifanya hashim lundenga upate wake za watu kwa urahisi. makubwa yatakupata