Mashindano ya Division ZERO 2023

Mwendo wameumaliza 🤣🤣🤣🤣🤓🤓🤓
 
Toa ualimu kwenye ujinga wako ,,nilipiga 1.15 O level nikapiga two Adv pnt 12 PCB and ama a teacher
We ulisomea nn chuo kwani si ualimu au acha zako hiyo sio fani ya kujivunia mkuuu utachekwa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 tena ukute unafundisha o level unatutambia hapa tu
 
Miuno minginyuminginyu kama mfale Zumaridi...

Majaji wanaopiga watu mvua miaka 30 kwa kutembea na under 18, waone hii...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…