Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 11,571
- 21,533
Hiyo script mpelekee Ray
Tuko wachache kweli. Ukijifanya kuringa tu natembea na rafiki ako HahahaAisee
Kweli wanaume ni wachache!!!
Kwaiyo mtakatifu me hapa na tabia ya kutongoza mashemeji zangu au?
Nmerudi Babby sukar.Michael bebe umerudi tena, hii ni story au kweli
Mkuu niombe radhiHadithi za shigongo
Hata 'story' iwe nzuri kiasi hiki...ukiwapa bongo movie wanaharibu
We jamaa wewe. Mwenzako analengo la kunidhihaki mkuuTuko wachache kweli. Ukijifanya kuringa tu natembea na rafiki ako Hahaha
Take it easy mkuuThe "problem" of your making. Mazoea na mashemeji sipendi
Hahahaa!!Hiyo script mpelekee Ray
Nilianza kuamini lakini ulilofika point kwamba shemeji kachukua simu yako na kumpigia mchumba wako muda mfupi tangu afike kwako nikaona hii haiwezekani. Halafu mtu mwenyewe bado kumgegeda! Na huyu shemeji awe na ujasiri wa kukutumia picha yake ya utupu kabla ya kuwa kwenye mahusiano!
Kama hadithi ni kweli basi hata huyo shemeji lengo lake alipanga amuharibie rafiki yake na wala si kwamba alikupenda kama unavyofikiri.
Ni kawaida wanawake kuoneana wivu na pengine hata kupindua himaya ila hiyo approach ndo naitilia mashaka. Na kama ni kweli basi huyo shemeji ni kibaka pamoja na uzuri wake.
Hakuna lisilowezekana chini ya jua mkuu.HAIWEZEKANI MASHEMEJI ZAKO WOTE WAKUTAKE, YANI HAKUNA ANAYEJIHESHIMU, KAMA NI KWELI INA MAANA HUYO MWANAMKE WAKO NA ANA TABIA HIYO.