Mashemeji wa kike ni jipu

Mashemeji wa kike ni jipu

Mkuu namheshimu sana mchumba Wang. Shemeji kuja na kuoga home ni kutokana na joto na alivyo-sweat.
Kama ningekuwa na nia ya kumla ningemla tokea kitambo sema mimi ndiye niliyekuwa nakataa. Na si yeye tuu ninekataa wasichana wengi sana kwa sababu ya kumheshimu mchumba Wang.

Ila kuhusu kuchepuka inatokeaga kwa nadra lakini kwa watu wa mbali mno
Alitokea mazoezini? Kama hauna feni sjui wereva ungemwambia akae ata nje mijasho yake ikauke
 
Next tym usilaumu wanawake wanaojitongozesha..jilaumu wewe unaye wapa nafasi ya kukuzoea mpk mnachat na kukaribishana nyumbani..ungemzuia kuingia kwako yangetokea hayo[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Yaan hiyo nafasi kaitoa yeye na angekuwa siriaz uyo shemeji asingeendelea na huo ujinga
 
Back
Top Bottom