cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 28,670
- 78,171
Mkuu namheshimu sana mchumba Wang. Shemeji kuja na kuoga home ni kutokana na joto na alivyo-sweat.
Kama ningekuwa na nia ya kumla ningemla tokea kitambo sema mimi ndiye niliyekuwa nakataa. Na si yeye tuu ninekataa wasichana wengi sana kwa sababu ya kumheshimu mchumba Wang.
Ila kuhusu kuchepuka inatokeaga kwa nadra lakini kwa watu wa mbali mno
Kwa hiyo siku hiyo alikuwa anaoga na kuondoka, chakula ulikuwa unajipikia le mwenyewe au mle pamoja!?