Masheikh wako wapi? Nchi inapotea

Viongozi wadini wengi ni matapeli tu kama matapeli wengine !wako mbali na Mungu ....msiwaone wamejivika misalaba mikubwa au kupaka hina ndevu zao na sigda uchwara!wasitupotezee muda!wenye akili timamu hatuna muda wa kijinga kuwasikiliza.....fanya kazi!
 
Unazungumzia wale magaidi mulowaweka ndani bila kosa eee
 
Ni vema ungejiuliza kwanini mashekh wakiikosoa serikali wanakamatwa na kufungwa na je kwanini maaskofu wakifanya tukio kama hilo hawafungi wala kukamatwa.labda tungeanzia hapo
 
Amkeni masheikh tunawategemea sn kwenye hili vivinginevyo nisijesikia sheikh yeyote baadae anaombea amani wkt alikiwa na nafasi na kukemea maovu ya sirikali
 
Masheikh wako madrasa wanawapa watoto elimu ya akhera baba magufuli kashawapa elimu dunia bure. Mbona amani yakutosha tu ipo tunaenda masjid kila siku saa 9 au 10 usiku natunarudi salama. Apambane tu huyo alishikiliwa pu.mbu kwa maslahi yake
 
Naona watu wamejielekeza kwa Bakwata tu kana kwamba bakwata tu ndiyo kuna masheik pekee.
Mkuu BAKWATA=Baraza kuu la waislam Tanzania,sasa watu uwanaka wajielekeze wapi
 
Tehetehetehe! Kikwete waliswali naye wakashindwa kumshauri kwa wizi na ufisadi uliofanyika na wateule wake. Leo wataweza wataanzia wapi? Wahusika wakubwa wakubwa wa hayo maovu wengine ni mashekhe na maaskofu. Dini ni vivuli tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…