KWANI MAREKANI NA NCHI NYINGINE ZIMEWAWEKA GEREZANI WATU WA AINA HII KWA MIAKA MINGAPI? SI NI BADO WAPO KWA AJILI YA USALAMA WA NCHI? FIKIRIA ZAIDI. WEWE UNAWATAKA WA NINI HAUSWALI MPAKA WAWEPO? ENDELEA KUMWOMBA MUNGU WENU ILI AFUNGULIWE NA WENGINE WAOMBE WASIFUNGULIWE TUTAJUA UKWELI NI NANI.
Kwa katiba yetu ni mahakama pekee inayotakiwa kutoa hukumu na sivingenevyo. Sasa wewe umesha wahukumu na kuwapa adhabu, hiyo si sawa.Makosa yao ndio yanawafanya waendelee kusota ndani.Kinachoangaliwa ni usalama wa nchi na sio nafasi zao kwenye jamii.Umesema ni zaidi ya miaka sita Sasa hivi ujiulizi aliyewaweka ndani ni muislamu mwenzao rais wa awamu ya nne yeye hakutambua nafasi zao kwenye jamii?Kwa Nini wengine wapate msamaha mpaka wahujumu uchumi lakini wao bado? Mashekhe wako wengi Tena wengine wakosoaji wa serikali lakini wanadunda tu,kwa nini iwe wao?Waligusa sehemu sio.Usiongozwe na mihemko chukua muda tafakari.
Waache wabaki hukohuko wasije wakaliamsha hukuNimesikia rais magufuli katoa msamaha ila kwenye msamaha huo sijasikia kusamehewa masheikh wetu wa uamsho najua kusema ukweli kwao ndo imekuwa tatizo ila naimani ipo siku mungu ataleta neema yake watatoka
Hao jamaa ni magaidi ukiwaachia unahatarisha usalama wa wananchi
Hapo kwenye red...Ni aibu kutumia neno "Nasikia" hasa kwa mtoto wa kiume,hili neno ni dalili ya umbea fulani hivi,hoja nzuri huenda kwa fact na sio kusikia.!
!
Adui Wa Mwislam Ni Mwislam Mwenzake. Walikamatwa Enzi Za Kikwete Hawa Wana Kama Mwaka Wa Kumi Na Nasikia Wameteswa Haswa Hawa Jamaa.
Una ushahidi gani kama wale ni magaidi ???uwe na majibu ya maswali haya... lini walipelekwa mahakamani na nini kinaendelea....
Jee unao ushahidi kama wale ni magaidi???Makosa yao ndio yanawafanya waendelee kusota ndani.Kinachoangaliwa ni usalama wa nchi na sio nafasi zao kwenye jamii.Umesema ni zaidi ya miaka sita Sasa hivi ujiulizi aliyewaweka ndani ni muislamu mwenzao rais wa awamu ya nne yeye hakutambua nafasi zao kwenye jamii?Kwa Nini wengine wapate msamaha mpaka wahujumu uchumi lakini wao bado? Mashekhe wako wengi Tena wengine wakosoaji wa serikali lakini wanadunda tu,kwa nini iwe wao?Waligusa sehemu sio.Usiongozwe na mihemko chukua muda tafakari.
Hata sisi huku misungwi tunaamini hivyo.Tatizo kubwa la wazanzibar ni kuamini uamsho.ni waislam safi !!..
Wewe una nchi?Siwezi kumtetea mtu anayetaka kuhatarisha amani ya nchi hata kama ni muislam au mkristo mwenzangu,kwa hilo suala siyo la kisiasa.
Sasa kwa nini msiwafunge kwa sheria ya mahakama hauoni kama ni ukandamizaji.Kwa hiyo waachwe wasichukuliwe hatua kisa tu wanatumia mwamvuli wa dini kuingiza ugaidi?? Sheria haiwezi kuwatetea magaidi
Wewe binti kafue vibwende vya polepoleUnataka wauaji wa kibiti wasamehewe?
Wapigana jihadi uchwara
Hapo kwenye red...Ni aibu kutumia neno "Nasikia" hasa kwa mtoto wa kiume,hili neno ni dalili ya umbea fulani hivi,hoja nzuri huenda kwa fact na sio kusikia.
Hivi unajua Kesi yao inahusishwa na nini ndani ya nchi yetu?na kwanini wanashikiliwa bila kupelewa mahakamani?
Ww umejuaje kama anahatarisha amani nchi??Siwezi kumtetea mtu anayetaka kuhatarisha amani ya nchi hata kama ni muislam au mkristo mwenzangu,kwa hilo suala siyo la kisiasa.
Sitaki kujua.... Lakini the truth ni kwamba wanashikiliwa kinyume cha sheria...Hivi unajua Kesi yao inahusishwa na nini ndani ya nchi yetu?
Una ushahidi gani kama wale ni magaidi ???
Kwa hiyo waachwe wasichukuliwe hatua kisa tu wanatumia mwamvuli wa dini kuingiza ugaidi?? Sheria haiwezi kuwatetea magaidi
Makosa yao ndio yanawafanya waendelee kusota ndani.Kinachoangaliwa ni usalama wa nchi na sio nafasi zao kwenye jamii.Umesema ni zaidi ya miaka sita Sasa hivi ujiulizi aliyewaweka ndani ni muislamu mwenzao rais wa awamu ya nne yeye hakutambua nafasi zao kwenye jamii?Kwa Nini wengine wapate msamaha mpaka wahujumu uchumi lakini wao bado? Mashekhe wako wengi Tena wengine wakosoaji wa serikali lakini wanadunda tu,kwa nini iwe wao?Waligusa sehemu sio.Usiongozwe na mihemko chukua muda tafakari.
Ni kweli kabisa