Foxhound
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 28,061
- 74,466
Vikundi vya kareti havihusiani na hayo mambo, swala ni kwamba hata hao wanaohisiwa ni magaidi hawajihusishi na hivyo vikundi, na hata mafunzo yao huchukulia maeneo ya Somalia. Hivyo vikundi vya kareti ni vijana tu wa mitaani aidha wana mafunzo ya kareti ndipo wameamua kuwafundisha wengine. Hakuna gaidi anaechukua mafunzo wazi wazi, mafunzo yao yote huwa ni siri sana.hich ni moshi hawa jamaa walikuwa karibu 40 wengine wako mombasa mwanza arusha tanga dodoma mpaka lindi. na ndio maana vikaibuka vikundi vyingi tu vya kareti.