Mashati anayovaa Lowassa naweza kuyapata wapi kwa hapa dar?

Mashati anayovaa Lowassa naweza kuyapata wapi kwa hapa dar?

bupumla jaribu kutumia lugha mbaya kujibu watu si bora ukawa kimnya

sijakuelewa, ila nimedhani tu kuwa lugha nilotumia ni mbaya japo huku kwetu kapuku ni neno la kawaida sana. Ila nisamehewe tu yamkini unanijua mtu mwenyewe, very sorry brother if my language was too negative to him
 
Magufuli jembe lng kura zote kwako baba,mkomboeni dada enu kwanza
 
Back
Top Bottom