Masharti ya mganga ili uwe tajiri

Masharti ya mganga ili uwe tajiri

Wengine kulala na mama zao yaani utajiri una meengi

Hiyo na mama zao duh.

Ya kulala na vichaaa ndio haswa basi mambo yakianza kwenda vibaya vichaaa hao utoboa siri aaaagh hata ukimbilie wapi watakupata unapoishi na kuyaongea sasa wakipewa mimba nao ndio weeeee eeeh wasikuone.

Mzazi mama mara nyingi kuuliwa sababu wanapendwa sana na watoto wao na ile kuwekwa ndani ya chumba kupata pesa pia...

Kuna ile story walisemaga ya mtoto Arusha mifano kama ile...
 
Mi naona wale wanajihanithi ni nafuu



Aagh tabu ni tamaa ya maisha na kutaka vya dezo au haraka haraka bila kutoka jasho. Wengi uingia wakitamani maisha ya marafiki zao au ndugu na jamaa na hao mtu huwezi kujua wamepataje pesa hadi wakuzungushe ukome utaomba omba weeee wapi hadi uanze kusema nitafanya lolote lile hapo basi utavutwa kurudi nyima huwezi nawe unaingia.

Ya funza nayo bado utatoa sadaka kwa wengi wanaua wawapendao. Au mke pia kuwa hazai kumbe sadaka ya watoto ambao hawajazaliwa inaenda huko alipotoa ahadi.

Haya ndio maana ma movie za wa west utoa mifano ya yanayojiri maishani.
 
Masharti magumu bora kuiba pesa nyingi unatokomeaaa zako hata nje haya masharti siwezi mamaeee
 
Kuna jamaaa nasikia aliwahi kuoga uchi pale mataa ya ubunge.. watu walishtuka jamaa anatoka na kidumu cha maji kwenye gari akiwa uchi na kujimwagia... haaaaa..
 
Hapafai huko mkuu yaani utakuwa tajiri Ila jiandae Kuua ndugu zako na ukija kuvunja masharti utafirisika mbaya.

Zamani kulikua na tajiri mmoja wa mabasi na malori inasemekana naye alipitia huko ngende . Namba za magari yake yote ziliishia na 69 . Sijui yupo wapi huyo jamaa!
 
Kuna siku nilimsikia jamaa anajisifu kwamba kama angekua na watoto wengi angemtoa mmoja kafara ili wengine wale bata..
 
Zamani kulikua na tajiri mmoja wa mabasi na malori inasemekana naye alipitia huko ngende . Namba za magari yake yote ziliishia na 69 . Sijui yupo wapi huyo jamaa!
HHiyo ya namba kuishia zinazofanana unataka kutuaminisha hata yule jamaa wa Kugis? Sababu magari yake mengi yanaishia na namba tano 5.
 
Masharti yangu ni ...

fanya kazi kwa bidii kuwa na nidhamu na pesa .... utajiri utaupata
 
HHiyo ya namba kuishia zinazofanana unataka kutuaminisha hata yule jamaa wa Kugis? Sababu magari yake mengi yanaishia na namba tano 5.

Ndiyo masharti hayo .Achana na utajiri si mchezo.
 
Kuna mtu alipewa sharti la kutokunya chooni yeye ni vichakani tu sasa sijui akiwa kama mitaa ya posta akabanwa sijui inakuwaje?
 
Hiyo ya kula mayai yako (kumuoa mwanao) kuna mzee mmoja tajiri ana mifugo/ng'ombe kibao lakini ameshamzalisha binti yake watoto watatu.Sasa hapo ni wazi kabisa masharti ya mganga yamemwelekeza hivyo
 
Hiyo ya kula mayai yako (kumuoa mwanao) kuna mzee mmoja tajiri ana mifugo/ng'ombe kibao lakini ameshamzalisha binti yake watoto watatu.Sasa hapo ni wazi kabisa masharti ya mganga yamemwelekeza hivyo
Usione watu matajiri kuna mambo makubwa
 
Back
Top Bottom