komred zahir
Senior Member
- Dec 30, 2015
- 182
- 62
Kuna jamaa tunaye hapa
Yeye ni full kujamba wakati wote
Yeye ni full kujamba wakati wote
wengine hakuna conjugal serviceKuna wanapata utajiri kwa masharti ya kulala chini ,au kutovaa viatu,wengine kutafuna mabinti zao (tendo la ndoa) n.k waweza ongezea mengine
ila ni utajiri wenye mateso.
Kuna jamaa tunaye hapa
Yeye ni full kujamba wakati wote
duh!!!kuna wengine huambiwa na waganga wakienda kazini na magari waende kwa reverse mpaka kazini na kurudi ivyo ivyo.
Aisee!mimi hapa mbavu sina,hasa huyo anaetaka gari iende na kurudi kwa reverse na huyo aliyeshuka juu ya mti sita usiku!!Haaaa comments za humu zimenichekesha wallah
Kwani wewe hupendi utajiri....mmmh
Hapa hapa ni wapi hapohapa hapa
haaaaa haujawahi juta kutotimiza mashartiMie mganga aliwahi kuniambia nimtongoze dada'angu, nimpeleke akiwa kishakubali hivyo akifika yeye ni kukanyaga tu...sikurudi kwake tena. Mwingine akaniambia nilale juu ya mti, kweli usiku ulipofika nikapanda mtini, nikalala nimening'inia...ilipofika kama saa sita hivi nikasema hu ni useng*e, nikarudi zangu kwenye sita kwa sita yangu.
Hapafai huko mkuu yaani utakuwa tajiri Ila jiandae Kuua ndugu zako na ukija kuvunja masharti utafirisika mbaya.Huko ngende nasikia shughuli pevu.
ukikua ndo utaijua siri nzito nzito za maishaMawazo ya kimaskini hayo..fanya kazi hakuna utajiri wa namna hiyo!!
Wengine kulala na mama zao yaani utajiri una meengiIle ya kulala makaburini na kukutana na wafu sijui mizimu wengi wanafanyaga pia, usione mtu anapita makaburini usiku anakuwa na yake yaliyompeleka.
Ila wakiingia hayo na kutotii masharti wanateseka, kiukweli bora mtu utafute tu maana kifo au masharti hayaishi.
Hata yale ya kuambiwa uue unaowapenda na hauwezi danganya eti unataja mtu asiye rohoni mwako so ndugu zako ndio hao....haiishi mara moja inaendelwa hadi ufe wewe usipotiiii
Mkimbilieni Mungu ndio chaguo zuri.
Mi naona wale wanajihanithi ni nafuuNa wa kuoza kichwani yaani funza wanakuwa wanatembea kichwani maisha yao yote wakiwa matajiri wanavaa kofia kuficha uozo na funza kuonekana.
Aaagh maisha hatari.