- Thread starter
- #21
Mkuu hilo la km 78 from Dar ni ekari ngapi? Je na hizo bei ni fixed au negotiable? Niko interested Mkuu. Tupatie na contacts mkuu.
Linakadiriwa kufika eka 25 hivi,bei sio fixed,aliyenijulisha na kunionyesha hilo shamba sio mzee mwenyewe. Liko karibu na shamba langu,ila hilo halifiki barabarani. Faida/uzuri wake lina kina kirefu cha maji ya kijito hicho.
Contact zangu au za mwenye shamba?