Moja lipo km 78 toka Dsm kwenda Mkuranga,lina mikorosho,linapakana na mto usiokauka,usafiri wa daladala toka mbagala upo. Halifai kwa kilimo cha mazao ya nafaka,linafaa kwa matunda na ufugaji wa aina zote. Bei kwa eka laki sita. La pili ni kama km 60 hivi,linafaa kwa kilimo cha mazao yote na ufugaji,lipo kando ya barabara na usafiri wa daladala upo,ukubwa yapata eka 10 hivi na lina kibanda kibovu na lina mazao ya pwani,bei 5M. Hili lina maji ya msimu wa masika tu. Haya mashamba nimeyaona.