pangatulale makoga
Member
- Jun 22, 2022
- 38
- 15
Shamba linalofaa kwa kilimo Cha parachichi au miti ya mbao linauzwa. Lipo Kijiji Cha matembwe ktk kata ya Matembwe, tarafa ya Lupembe wilayani Njombe na mkoa wa Njombe. Lina ukubwa wa eka 10
Bei ni tsh 500,000/= eka Linafaa kwa kilimo Cha mahindi pia maharage n,k
Kwa mawasiliano zaidi nipigie 0711605570 au 0784340024
Bei ni tsh 500,000/= eka Linafaa kwa kilimo Cha mahindi pia maharage n,k
Kwa mawasiliano zaidi nipigie 0711605570 au 0784340024