mashamba yanauzwa maeneo ya Mwale Masaki

mashamba yanauzwa maeneo ya Mwale Masaki

mlimbwende

Member
Joined
Jul 15, 2011
Posts
74
Reaction score
26
Mashamba yanuzwa maeneo ya Mwale Masaki Kisarawe. Moja heka 4 lina, minazi kama ishirini, michungwa, miembe n.k Shilingi milioni 10. Lingine heka 1shilingi milioni moja na laki nane. Wanaouza ni wazee wanashida. manunuzi yanafanyika serikali ya kijiji anae hitaji ani PM nimuunganishe na wazee mojakwa moja.
 
Back
Top Bottom