Mashamba ya kulima Ruvu

Mashamba ya kulima Ruvu

Mkuu,siwavunji moyo hapa nawaonjesha tu changamoto za huku,na mwenye swali asisite kuniuliza,ili siku yakikukuta ukumbuke.Ghala lipo na ni la chama.Hivyo,ukivuna unaweza kutunza mpunga wako mpaka utakapoamua kuuza.Gharama za kutunza,nilisikia ni 2,000 kwa siku(japo uhakika sina,mpaka niulize),ila nimesikia kipindi furani hao hao tunaowasema walivunja na kuiba mpunga wa watu.Sasa mpaka mwizi atafutwe,kesi iende,ulipwe ni leo? Mi naonaga tu uuzie shamba hapo,wanaonunua wanaanika wenyewe,au utafute sehemu kijijini uupeleke uombe hifadhi uwe unaanika mwenyewe,ukimaliza toa shukrani zao,safirisha,uza au koboa mwenyewe
Kwanzaa mkuu shukrani sana kwa kunitoa kwa izi ABC mwaka jana nilitaka kulima ila jama niliyemtegemea angenipa muongozo akanikatisha tamaa kabisa.

moja wapo ni kama imani za kishirikina kuibiwa mazao shambani kichawi na pili ukiuzia mpunga kipindi cha mavuno au kuuzia shamba wateja huwa wanawalalia sana wakulima na kununua kwa bei rahisi sana ...nipe mchanganuo katika ili na gunia kwa shamba wanauza shilingi ngapi na linakua na Kg ngapi... Nawasilisha mkuu

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Asante mkuu kwa ushauri wako nzuri,sikio la kufa halisikii dawa.

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Asante kiongozi tunapenda watu mnaosema ukweli

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Mr. Innocent,uchawi kubali ukatae upo,ila siyo shamba aise!Usiwe mwepesi kiasi hicho,changamoto kubwa tu huku ni watu wanataka hela za bule au kiujanjaujanja.
Kuhusu ujazo wa junia,office inasema uwe wa kilo 80 tu.Sasa wanunuzi wakija shamba wao wanataka ujazo wa 100kg. Wanaenda kuanika wao wenyewe.Lakini nadhani,vyema ugharamie usafiri,ukishauanika,unauza tu.Na kama una pa kuuweka,kama huna msongo wa hela tunza,au hata ukiuuzia Dar ni tofauti na hapa.Kama unajiweza,peleka,kobolesha,uza mchele.Usisite kuuliza maswali hata madogo madogo tu.Sehemu zingine ukipeleka sokoni,madalali wanataka wakuuzie,na wenyewe wanapiga hela ndefu sana kuliko wewe mwenye mali.
Ila nawafahamu watu,wanatoka na mizigo yao,wakifika huko sokoni wanauza wenyewe hamna cha Dalali.Hao ukiwa nao karibu,haushindwi kuuza na kupata faida yako.

Ngozi Joram,na wengine. Nimeumia sana kuona watu wanavochezewa akili na hela zao,yaani we unainyima familia yako leo ili angalau ujenge heshima ya kesho,mpuuzi anachezea na kupeleka anakokujua mwenyewe,waulize walioowa jibu wanalolipata wakieleza wenza wao kilichotokea.Pili, mimi najitambua na najielewa,siwezagi kuvumilia napomuona mtu hatendewi haki.
Vijana wengi wasiotaka kujishughulisha,hasa wa mikoa hii,wanajua wakuja wana pesa na tutazila tu.

Usiwe muoga wa shamba,ila uwe mchoyo wa hela yako,na mda wako shamba ni mhimu.Haya ukiyapatia,lazima utatoka tu.

Kazi za kule,wanawake naonaga ndo bora.Atatumia mda mrefu,lakini atakufanyia kazi yako.Vijana watakuliza tu,kazi ya wiki anaifanya masaa,laki nondoka nayo.Siku moja tu,sasa kama hauko makini utarudi humu na majuto.
Kwa mda ambao nipo bado,mwenye nia aje ntamuelekeza,na yeye atasaidia wengine
 
Mkuu kama hutojali nitakutafuta next weekend. Kifupi nahitaji kuwa mwanachama

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Mkuu shukrani sana sema nataka kujua na bei ya kuuzia shamba kwa gunia na ata kuuzua sokoni kama unajua ili huu mchanganuo ninaotakaa kuuandaa hapa uwe perfect

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Mkuu kama hutojali nitakutafuta next weekend. Kifupi nahitaji kuwa mwanachama

Post sent using JamiiForums mobile app

Karibu. Mi si mchoyo wa msaada uliyopo ndani ya uwezo wangu.Andaa barua ya maombi ya uwanachama,muandikie "Mwenyekiti wa Chama"
na picha yako ndogo,upeleke ofisini,jibu lako badae,ukishakubaliwa utawaandalia pesa zao hizo nilizozitaja
 
Mkuu shukrani sana sema nataka kujua na bei ya kuuzia shamba kwa gunia na ata kuuzua sokoni kama unajua ili huu mchanganuo ninaotakaa kuuandaa hapa uwe perfect

Post sent using JamiiForums mobile app

Kusema ukweli unaweza ukapata figure lakini kukupa bei ya uhakika ntaongopa.

Ukiwa shamba,bei inategemea na ubora wenyewe kwa kuangalia,mnunuzi,usafirishaji,na kuuzia nje,nazani bei hutofautiana sehemu hadi sehemu.

Ntakachokifanya ntakuulizia,ila jibu ntakalokupa usilichukulie kama lilivyo,kila msimu unakuwa na ya kwake.Ila nachojua inaweza kuvaly kati ya 80,000 hadi 100,000.
 
Mkuu shukrani sana sema nataka kujua na bei ya kuuzia shamba kwa gunia na ata kuuzua sokoni kama unajua ili huu mchanganuo ninaotakaa kuuandaa hapa uwe perfect

Post sent using JamiiForums mobile app

Hapana,sikushauri hiyo kitu,kwanza uje shamba ukijua kuna kupata na kukosa.Ukianza kupiga hesabu ya faida leo kabla hujaziona changamoto zenyewe,utakata tamaa,wewe jipange, kama utasimamia mwenyewe, andaa kama 2.5M,ukihudumia shamba ipasavyo hela yako na faida utaiona. Nakushauri mara ya kwanza ichukulie kama darasa,japo hutapata hasara.

Bei hutofautiana kutokana na wanunuzi,na mzigo ulionao,na ubora wa zao lako.Sasa nikikwambia ni bei hii ntaongopa. Ila mi najua ni 100,000 kwa junia la 100kg, na wapo wengine wanauza 80kg kwa hiyo hiyo laki moja
 
Hapana,sikushauri hiyo kitu,kwanza uje shamba ukijua kuna kupata na kukosa.Ukianza kupiga hesabu ya faida leo kabla hujaziona changamoto zenyewe,utakata tamaa,wewe jipange,kama utasimamia mwenyewe,andaa kama 2.5M,ukihudumia shamba ipasavyo hela yako na faida utaiona.Nakushauri mara ya kwanza ichukulie kama darasa,japo hutapata hasara.
Bei hutofautiana kutokana na wanunuzi,na mzigo ulionao,na ubora wa zao lako.Sasa nikikwambia ni bei hii ntaongopa.Ila mi najua ni 100,000 kwa junia la 100kg, na wapo wengine wanauza 80kg kwa hiyo hiyo laki moja
Nimekupata vyema mkuu ngoja nianze kusaka ka mtaji nije kujitosa uko.

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Nimekupata vyema mkuu ngoja nianze kusaka ka mtaji nije kujitosa uko.

Post sent using JamiiForums mobile app

Wewe njoo ufanye kazi,siyo ujitose.
Kwa sababu,mali zipo shamba,asikudanganye mtu.Wenyeji huku mtu analima ukubwa wa sebure,anajiona amelima na anaishi,kwa mtaji usiozidi laki 2,je wewe na mtaji wako,utashindwa kufanikiwa?
 
Karibu. Mi si mchoyo wa msaada uliyopo ndani ya uwezo wangu.Andaa barua ya maombi ya uwanachama,muandikie "Mwenyekiti wa Chama"
na picha yako ndogo,upeleke ofisini,jibu lako badae,ukishakubaliwa utawaandalia pesa zao hizo nilizozitaja
Nashukuru mkuu ila naomba unisaidie full address

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Maeneo yapi unayoyazungumzia mkuu? Kama ni kilimo cha mpunga,ndio,ni CHAURU,kama ni matunda na mbogamboga,havilimwi CHAURU
Mpunga mkuu, nimewahi kulima msimu mmoja swala la muhim kama ulivyosema ni usimamizi, vijana kule wahuni sana, ila changamoto kubwa kabisa ya kule ambayo ni mafuriko naona hujawaambia mkuu.

Sent from my TECNO-N8 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu,siwavunji moyo hapa nawaonjesha tu changamoto za huku,na mwenye swali asisite kuniuliza,ili siku yakikukuta ukumbuke.Ghala lipo na ni la chama.Hivyo,ukivuna unaweza kutunza mpunga wako mpaka utakapoamua kuuza.Gharama za kutunza,nilisikia ni 2,000 kwa siku(japo uhakika sina,mpaka niulize),ila nimesikia kipindi furani hao hao tunaowasema walivunja na kuiba mpunga wa watu.Sasa mpaka mwizi atafutwe,kesi iende,ulipwe ni leo? Mi naonaga tu uuzie shamba hapo,wanaonunua wanaanika wenyewe,au utafute sehemu kijijini uupeleke uombe hifadhi uwe unaanika mwenyewe,ukimaliza toa shukrani zao,safirisha,uza au koboa mwenyewe
Gharama za kutunza ni 300 kwa mwezi mkuu kwa gunia moja.

Sent from my TECNO-N8 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu,siwavunji moyo hapa nawaonjesha tu changamoto za huku,na mwenye swali asisite kuniuliza,ili siku yakikukuta ukumbuke.Ghala lipo na ni la chama.Hivyo,ukivuna unaweza kutunza mpunga wako mpaka utakapoamua kuuza.Gharama za kutunza,nilisikia ni 2,000 kwa siku(japo uhakika sina,mpaka niulize),ila nimesikia kipindi furani hao hao tunaowasema walivunja na kuiba mpunga wa watu.Sasa mpaka mwizi atafutwe,kesi iende,ulipwe ni leo? Mi naonaga tu uuzie shamba hapo,wanaonunua wanaanika wenyewe,au utafute sehemu kijijini uupeleke uombe hifadhi uwe unaanika mwenyewe,ukimaliza toa shukrani zao,safirisha,uza au koboa mwenyewe
Mpunga wako hauibiwi na kama ikitokea chama kinakulipa coz unapewa na risiti kabisa

Sent from my TECNO-N8 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu shukrani sana sema nataka kujua na bei ya kuuzia shamba kwa gunia na ata kuuzua sokoni kama unajua ili huu mchanganuo ninaotakaa kuuandaa hapa uwe perfect

Post sent using JamiiForums mobile app
Kwa kipindi cha misimu mitatu iliyopita ilikuwa 600 kwa kilo so inategemea na gunia utakazokuwa umepata.. Muhim ni kuutunza godown kama miez 2 hvi ambapo bei hupanda hadi 1300,ukivuna na kuuza hupati kitu coz bei zinakuwa chini sana kipindi cha mavuno

Sent from my TECNO-N8 using JamiiForums mobile app
 
Upatikanaji wa taarifa sahihi ni shida kubwa.. Ni rahisi kupata taarifa nyingi na sahihi za huko nchi zingine kuliko za hapa hapa Tz. Hivyo napenda kuwashukuru Cityhunter1 na Emmanuel nemes kwa kutuwekea hapa taarifa nyingi zenye tija juu ya kilimo hapo Ruvu
 
Wewe njoo ufanye kazi,siyo ujitose.
Kwa sababu,mali zipo shamba,asikudanganye mtu.Wenyeji huku mtu analima ukubwa wa sebure,anajiona amelima na anaishi,kwa mtaji usiozidi laki 2,je wewe na mtaji wako,utashindwa kufanikiwa?
Sawa mkuu nimekupata vyema nitakucheki

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom