Bwegebwege,kuwa makini sana na mashamba ya bagamoyo before hujanunua. Mume wangu alinunua shamba pale miaka mingi sana nyuma toka kwa wanakijiji. Amekuwa nalo bila shida yoyote. Na alikuwa ana pepaz zote kihalali toka wilayani. Miezi miwili iliyopita akaliuza maana alisema. Wakapeana documents zote na kukabidhiana kisheria.
After one week aliyenunua akampigia cm kuwa eti lile eneo ni la jeshi. Kumbe lilichukuliwa kinyemela na pepaz hazikupelekwa wilayani. Ikabidi arudishe pesa za watu.
Sasa kuwa makini sana maana kuna dhulma sana inayofanywa na watendaji wabovu wa serikali ambayo huwezi jua kirahisi.