bwegebwege
JF-Expert Member
- Jul 30, 2010
- 1,068
- 183
Wana JF!
Kunu ndugu yangu amenihabarisha kuwa kuna mashamba maeneo ya Bagamoyo (maeneo mbalimbali) na ni bei poa (hakunitajia bei)!
Binafsi nina nia ya kununua eneo kwa ajili ya kilimo kule; ingawa sijafika nimehakikishiwa kuwa ni maeneo mazuri sana kwa ufugaji na kilimo cha korosho, maembe na minazi!
Swali langu ningependa wana JF kama kuna yeyote mwenye taarifa inayohusiana na mipango ya baadaye ya serikali kwa maeneo ya Bagamoyo...naogopa kuchukua eneo leo (say ekari 50) halafu unaambiwa eneo hilo limetengwa kwa ajili ya kujenga kitu fulani...hasa ukizingatia kuwa serikali hii inaendesha mambo yake kisanii....
Kama kuna mtu anafahamu maeneo (say majina ya vijiji) ambavyo vipo katika mipango ya serikali kwa ajili ya ujenzi wa kitu fulani etc ninaomba sana anijulishe!! Ukinitajia maeneo unayojua kwamba ni ya "moto" basi ninapoenda huko nakuwa na tahadhari...au nakwepa mapema!!
Nitashukuru sana kwa msaada wenu wa mawazo!
Nawasilisha
Kunu ndugu yangu amenihabarisha kuwa kuna mashamba maeneo ya Bagamoyo (maeneo mbalimbali) na ni bei poa (hakunitajia bei)!
Binafsi nina nia ya kununua eneo kwa ajili ya kilimo kule; ingawa sijafika nimehakikishiwa kuwa ni maeneo mazuri sana kwa ufugaji na kilimo cha korosho, maembe na minazi!
Swali langu ningependa wana JF kama kuna yeyote mwenye taarifa inayohusiana na mipango ya baadaye ya serikali kwa maeneo ya Bagamoyo...naogopa kuchukua eneo leo (say ekari 50) halafu unaambiwa eneo hilo limetengwa kwa ajili ya kujenga kitu fulani...hasa ukizingatia kuwa serikali hii inaendesha mambo yake kisanii....
Kama kuna mtu anafahamu maeneo (say majina ya vijiji) ambavyo vipo katika mipango ya serikali kwa ajili ya ujenzi wa kitu fulani etc ninaomba sana anijulishe!! Ukinitajia maeneo unayojua kwamba ni ya "moto" basi ninapoenda huko nakuwa na tahadhari...au nakwepa mapema!!
Nitashukuru sana kwa msaada wenu wa mawazo!
Nawasilisha